< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
and to answer Job and to say
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
if to weigh to weigh vexation my (and desire my *Q(K)*) in/on/with balance to lift: bear unitedness
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
for now from sand sea to honor: heavy upon so word my to talk wildly
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
for arrow Almighty with me me which rage their to drink spirit my terror god to arrange me
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
to bray wild donkey upon grass if: surely no to low cattle upon fodder his
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
to eat insipid from without salt if there taste in/on/with spittle mallow
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
to refuse to/for to touch soul: appetite my they(masc.) like/as illness food my
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
who? to give: if only! to come (in): fulfill petition my and hope my to give: give god
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
and be willing god and to crush me to free hand his and to cut off me
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
and to be still comfort my and to rejoice in/on/with agony not to spare for not to hide word holy
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
what? strength my for to wait: hope and what? end my for to prolong soul: life my
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
if: surely no strength stone strength my if: surely no flesh my bronze
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
if: surely no nothing help my in/on/with me and wisdom to banish from me
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
to/for despairing from neighbor his kindness and fear Almighty to leave: forsake
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
brother: male-sibling my to act treacherously like torrent: river like/as channel torrent: river to pass
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
[the] be dark from ice upon them to conceal snow
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
in/on/with time to burn to destroy in/on/with to warm his to put out from place their
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
to twist way way: journey their to ascend: rise in/on/with formlessness and to perish
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
to look way Tema walk Sheba to await to/for them
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
be ashamed for to trust to come (in): come till her and be ashamed
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
for now to be (to/for him *Q(K)*) to see: see terror and to fear
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
for to say to give to/for me and from strength your to bribe about/through/for me
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
and to escape me from hand: power enemy and from hand: power ruthless to ransom me
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
to show me and I be quiet and what? to wander to understand to/for me
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
what? be sick word uprightness and what? to rebuke to rebuke from you
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
to/for to rebuke speech to devise: think and to/for spirit: breath word to despair
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
also upon orphan to fall: allot and to trade upon neighbor your
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
and now be willing to turn in/on/with me and upon face your if: surely no to lie
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
to return: repent please not to be injustice (and to return: turn back *Q(K)*) still righteousness my in/on/with her
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
there in/on/with tongue my injustice if: surely no palate my not to understand desire

< Ayubu 6 >