< Ayubu 6 >
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
Дано само би се претеглила моята печал, И злополуката ми да би се турила срещу нея на везните!
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
Понеже сега би била по-тежка от морския пясък; Затова думите ми са били необмислени.
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
Защото стрелите на Всемогъщия са вътре в мене, Чиято отрова духът ми изпива; Божиите ужаси се опълчват против мене.
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
Реве ли дивият осел, когато има трева? Или мучи ли волът при яслите?
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
Яде ли се блудкавото без сол? Или има ли вкус в белтъка на яйцето?
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
Душата ми се отвращава да ги допре; Те ми станаха като омразно ястие.
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
Дано получех това, което прося, И Бог да ми дадеше онова, за което копнея!
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
Да благоволеше Бог да ме погуби, Да пуснеше ръката Си та ме посече!
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Но, това ще ми бъда за утеха, (Да! ще се утвърдя всред скръб, която не ме жали). Че аз не утаих думите на Светия.
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
Каква е силата та да чакам? И каква е сетнината ми та да издържа?
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
Силата ми сила каменна ли е? Или месата ми са медни?
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
Не изчезна ли в мене помощта ми? И не отдалечи ли се от мене избавлението?
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
На оскърбения трябва да се покаже съжаление от приятеля му, Даже ако той е оставил страха от Всемогъщия.
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Братята ми ме измамиха като поток; Преминаха като течение на потоци,
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
Които се мътят от леда, И в които се топи снегът;
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
Когато се стоплят изчезват; Когато настане топлина изгубват се от мястото си;
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Керваните, като следват по криволиченията им, Пристигат в пустота и се губят;
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
Теманските кервани прегледваха; Шевските пътници ги очакваха;
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
Излъгаха се в надеждата си; Дойдоха там и се посрамиха;
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
Сега и вие сте така никакви; Видяхте ужас, и се уплашихте.
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
Рекох ли аз: Донесете ми? Или: Дайте ми подарък от имота си?
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
Или: Отървете ме от ръката на неприятеля? Или: Откупете ме от ръката на насилниците?
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
Научете ме, и аз ще млъкна; И покажете ми в що съм съгрешил.
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
Колко са силни справедливите думи! Но вашите доводи що изобличават?
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Мислите ли да изобличите думи, Когато думите на човек окаян са като вятър?
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
Наистина вие бихте впримчили сирачето, Бихте копали яма на неприятеля си.
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
Сега, прочее, благоволете да ме погледнете, Защото ще стане явно пред вас ако аз лъжа
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Повърнете се, моля; нека не става неправда; Да! повърнете се пак; касае се до правдивостта ми.
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
Има ли неправда в езика ми? Не може ли небцето ми да познае лошото?