< Ayubu 6 >
2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa, nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!
“Na bidi hamosu da: i dioi da dioi defesu amoga defesa ganiaba, ilia defei da hano wayabo ganodini sa: i amo defei baligi ba: la: loba. Amaiba: le, na da udigili sia: dasea, mae fofogadigima.
3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote, kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.
4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu, roho yangu inakunywa sumu yake; vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.
Gode Bagadedafa E da dadi bagohame amoga na gala: i. Dadi medosu hano da na maga: me ganodini haina daha. Gode da na beda: ma: ne, se iasu bagade nama iaha.
5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?
Dougi da gisi nasea, hahawane esalebe ba: sa. Bulamagau da gisi giliga: la: i nasea, ouiya: le esalebe ba: sa.
6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
Be dunu da ha: i manu deme hame gala, amo manu gogolesa. Amola sio oso da: iya da hame hedasa.
7 Ninakataa kuvigusa; vyakula vya aina hii hunichukiza.
Na da agoai ha: i manu hame hedai agoai ba: sa. Na da ha: i manu huluane nasea, olosa.
8 “Laiti ningepata haja yangu, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
Gode da abuliba: le na adole ba: su liligi hame iabela: ? E da abuliba: le na sia: ne gadosu hame adole iabela: ?
9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda, kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!
E da na medole legemu da defea gala.
10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja, furaha yangu katika maumivu makali: kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.
Na da se bagade naba. Be E da na medole legemu na da dawa: i ganiaba, na da hahawaneba: le, soagalagadola: loba. Na dawa: , Gode da hadigidafa. Na da Ea hamoma: ne sia: i hamedafa hihi galu.
11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini? Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?
Na da bu esalumu, gasa hame galebe. Na da dafawane hamoma: beyale huluane fisi dagoiba: le, abuli bu esaloma: bela: ?
12 Je, mimi nina nguvu za jiwe? Je, mwili wangu ni shaba?
Na da gelega hamobela: ? Na da: i hodo da balasega hamobela: ?
13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe, wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?
Na da nisu gaga: mu da gasa hamedafa gala. Na da fidisu dunu hamedafa gala.
14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake, hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.
Na da Gode Ea hou yolesi o hame yolesi, mae dawa: ma! Be amo bidi hamosu da nama doaga: beba: le, na na: iyado dunu da na hame yolesimu da defea galu.
15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa, ni kama vijito vya msimu, ni kama vijito ambavyo hufurika
Be dilia! Na na: iyado dunu! Gibu da hame dasea, hano da hafoga: i ba: sa. Amo defele, dilia da na ogogole fawane fidisa.
16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo, ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,
Anegagi oubiga, hano da anegagi ofo amola muge amoga ga: i dagoi ba: sa.
17 lakini hukauka majira ya ukame, na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.
Be gia: i oubiga, amo liligi da hedolowane alalolesisa. Amasea, hano logo da hafoga: i dagoi ba: sa.
18 Misafara hugeuka kutoka njia zake; hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.
Sofe ahoasu dunu da hano hogobeba: le, fisi dagoi ba: sa. Ilia hafoga: i sogega doula ahoabeba: le, hedolo bogogia: sa.
19 Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.
20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini; wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.
Siba amola Dima dunu fi sofe ahoasu dunu ilia da hano hogolala, be hafoga: i hano logo fawane ba: beba: le, ilia dafawaneyale hamoma: beyale dawa: i da udigili fisi dagoi ba: sa.
21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote; mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.
Na da dili ba: sea, dilia da amo hafoga: i hano logo defele ba: sa. Dilia da nama misi hou ba: sea, beda: iba: le fofogadigili bagidu gagasi ahoa.
22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu, au mnilipie fidia kutoka mali zenu,
Na da dilima hahawane dogolegele iasu adole ba: bela: ? Na da dilima dilia na fidima: ne, eno dunuma hano suligili adole ba: bela: ?
23 au niokoeni mikononi mwa adui, au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?
Na da dilima na ha lai dunu na mae hasalima: ne gaga: musa: adole ba: bela: ? Hame mabu!
24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya; nionyesheni nilikokosea.
Defea! Nama olelema! Na giadofai amo nama adoma! Na da ouiya: le, dilia sia: noga: le nabimu.
25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli! Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?
Dunu da moloidafa sia: nabasea, dafawaneyale dawa: mu. Be dilia da udigili gagaoui sia: fawane sia: sa.
26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema, na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?
Dilia da na sia: da udigili fo agoane dawa: sa. Amaiba: le, dilia da abuliba: le na heawini da: i dioi sia: amoma adole iabela: ?
27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima, na kubadilishana rafiki yenu na mali.
Dilia hou da agoane gala. Dilia da udigili hawa: hamosu guluba: mano lama: ne, ululuasa. Dilia da na: iyadodafa ilia liligi wamolabeba: le, bagade gagui dunu agoai ba: sa.
28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi. Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?
Na odagi ba: ma! Na da hame ogogomu!
29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu; angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.
Dilia sia: da gui dagoma! Moloihame hou yolesima! Nama se ima: ne mae fofada: ma! Na hou da moloidafa!
30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu? Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?
Be dilia da na da ogogosu dunuyale dawa: be. Dilia da na da wadela: i hou amola moloidafa hou amo da hisu hame dawa: yale dawa: sala: ?