< Ayubu 5 >

1 “Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?
Sauc jel, vai būs kāds, kas tev atbild? Un pie kura no svētiem tu gribi griezties?
2 Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.
Jo sirdēsti nokauj ģeķi, un pārsteigšanās nonāvē nejēgu.
3 Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.
Es redzēju ģeķi iesakņotu, bet piepeši nolādēju viņa namu.
4 Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.
Viņa bērni palika tālu no pestīšanas un tapa satriekti vārtos, un nebija glābēja.
5 Wenye njaa huyala mavuno yake, wakiyatoa hata katikati ya miiba, nao wenye kiu huitamani sana mali yake.
Viņa pļāvumu ēda izsalkuši, un pat no ērkšķu vidus to lasīja, un laupītāji aprija viņa padomu.
6 Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.
Jo no pīšļiem neizaug nelaime, un no zemes neizplaukst grūtums.
7 Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.
Bet cilvēks uz grūtumu piedzimst, kā dzirksteles no oglēm paceļas skraidīt.
8 “Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu, ningeliweka shauri langu mbele zake.
Bet es meklētu to stipro Dievu un Dievam pavēlētu savas lietas.
9 Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.
Viņš dara lielas lietas, kas nav izprotamas, un brīnumus, ko nevar skaitīt.
10 Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.
Viņš dod lietu virs zemes un ūdenim liek nākt pār druvām.
11 Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.
Zemos Viņš liek augstā vietā, un bēdīgie tiek celti laimē.
12 Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi.
Viņš iznīcina viltniekiem padomu, ka viņu rokas nekā derīga nevar padarīt.
13 Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.
Viņš satver gudros viņu viltībā, un netikliem padoms ātri krīt.
14 Giza huwapata wakati wa mchana; wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.
Pa dienu tie skraida tumsā, un dienas vidū tie grābstās kā naktī.
15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.
Bet Viņš izglābj no zobena, no viņu mutes, un to bēdīgo no varenā rokas.
16 Kwa hiyo maskini analo tarajio, nao udhalimu hufumba kinywa chake.
Tā nabagam nāk cerība, bet blēdībai būs turēt muti.
17 “Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.
Redzi, svētīgs tas cilvēks, ko Dievs pārmāca, tāpēc neņem par ļaunu tā Visuvarenā pārmācību.
18 Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya.
Jo Viņš ievaino un atkal sasien, Viņš sadauza, un Viņa roka dziedina.
19 Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.
Sešās bēdās Viņš tevi izglābs, un septītā tevi ļaunums neaizskars.
20 Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.
Bada laikā Viņš tevi izpestīs no nāves, un kara laikā no zobena cirtieniem.
21 Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.
No ļaunām mēlēm tu tapsi paglābts, un nebīsies no posta, kad tas nāks.
22 Utayacheka maangamizo na njaa, wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa wanyama wakali wa mwituni.
Postīšanā un badā tu smiesies, un no zemes zvēriem tu nebīsies.
23 Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba, nao wanyama wa mwitu watakuwa na amani nawe.
Jo tev būs derība ar akmeņiem tīrumā, un zvēri laukā turēs ar tevi mieru.
24 Utajua ya kwamba hema lako li salama; utahesabu mali zako wala hutakuta chochote kilichopungua.
Un tu samanīsi, ka tavs dzīvoklis mierā, un apraudzīsi savu namu un trūkuma nebūs.
25 Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi, nao wazao wako wengi kama majani ya nchi.
Un tu samanīsi, ka tava dzimuma būs daudz, un tavi pēcnākamie kā zāle virs zemes.
26 Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu, kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa wakati wake.
Vecumā tu iesi kapā, tā kā kūlīšus ieved savā laikā.
27 “Tumelichunguza hili, nalo ni kweli. Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”
Redzi, to mēs esam izmeklējuši, tā tas ir; klausi tu un ņem to labi vērā.

< Ayubu 5 >