< Ayubu 40 >

1 Bwana akamwambia Ayubu:
Poleg tega je Gospod odgovoril Jobu in rekel:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
»Mar ga bo tisti, ki se prička z Vsemogočnim, poučeval? Kdor graja Boga, naj mu to odgovori.«
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
Potem je Job odgovoril Gospodu in rekel:
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
»Glej, nepomemben sem, kaj naj ti odgovorim? Svojo roko bom položil na svoja usta.
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
Enkrat sem govoril, toda ne bom odgovoril. Da, dvakrat, vendar ne bom nadaljeval.«
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
Potem je Gospod iz vrtinčastega vetra odgovoril Jobu in rekel:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
»Opaši sedaj svoja ledja kakor mož. Zahteval bom od tebe in ti mi razglasi.
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
Hočeš tudi mojo sodbo razveljaviti? Me hočeš obsoditi, da bi bil ti lahko pravičen?
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
Ali imaš laket kakor Bog? Ali lahko zagrmiš z glasom kakor on?
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
Odeni se sedaj z veličanstvom in odličnostjo in odeni se s slavo in lepoto.
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
Izlij bes svoje jeze. Glej vsakogar, ki je ponosen in ga ponižaj.
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
Poglej na vsakogar, ki je ponosen in ga ponižaj in zlobne pomendraj na njihovem kraju.
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
Skupaj jih skrij v prah in njihove obraze obveži na skrivnem.
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
Potem ti bom tudi jaz priznal, da te tvoja lastna desnica lahko reši.
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
Glej torej behemota, ki sem ga naredil s teboj; muli travo kakor vol.
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
Glej torej, njegova moč je v njegovih ledjih in njegova sila je v kiti njegovega trebuha.
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
Svoj rep premika kakor cedra. Kite njegovih kamnov so ovite skupaj.
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
Njegove kosti so kakor trdi koščki iz brona, njegove kosti so podobne železnim zapahom.
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
Ta je vodja Božjih poti. Kdor ga je naredil lahko stori, da se mu približa njegov meč.
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
Zagotovo mu gore prinašajo hrano, kjer se igrajo vse poljske živali.
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
Leži pod senčnimi drevesi, v skrivališču trstja in močvirij.
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
Senčna drevesa ga pokrivajo s svojo senco, naokoli ga obdajajo potočne vrbe.
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
Glej, pije reko in ne hiti; zaupa, da lahko Jordan posrka v svoja usta.
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
Ujame ga s svojimi očmi. Njegov nos prebada skozi zanke.

< Ayubu 40 >