< Ayubu 40 >

1 Bwana akamwambia Ayubu:
آیا هنوز هم می‌خواهی با من که خدای قادر مطلق هستم مباحثه کنی؟ تو که از من انتقاد می‌کنی آیا می‌توانی جوابم را بدهی؟ ایوب به خداوند چنین پاسخ داد:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
من کوچکتر از آنم که بتوانم به تو جواب دهم. دست بر دهانم می‌گذارم
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
و دیگر سخن نمی‌گویم.
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
آنگاه خداوند از میان گردباد بار دیگر به ایوب چنین گفت:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
اکنون مثل یک مرد بایست و به سؤال من جواب بده.
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
آیا مرا به بی‌عدالتی متهم می‌سازی و مرا محکوم می‌کنی تا ثابت کنی که حق با توست؟
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
آیا تو مانند خدا توانا هستی؟ آیا صدای تو می‌تواند مانند رعد او طنین اندازد؟
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
اگر چنین است پس خود را به فّر و شکوه ملبس ساز و با جلال و عظمت به پا خیز.
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
به متکبران نگاه کن و با خشم خود آنها را به زیر انداز.
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
با یک نگاه، متکبران را ذلیل کن و بدکاران را در جایی که ایستاده‌اند پایمال نما.
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
آنها را با هم در خاک دفن کن و ایشان را در دنیای مردگان به بند بکش.
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
اگر بتوانی این کارها را بکنی، آنگاه من قبول می‌کنم که با قوت خود می‌توانی نجات یابی.
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
نگاهی به بهیموت بینداز! من او را آفریده‌ام، همان‌طور که تو را آفریده‌ام! او مثل گاو علف می‌خورد.
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
کمر پرقدرت و عضلات شکمش را ملاحظه کن.
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
دمش مانند درخت سرو، راست است. رگ و پی رانش محکم به هم بافته شده است.
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
استخوانهایش مانند تکه‌های مفرغ و دنده‌هایش چون میله‌های آهن، محکم می‌باشند.
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
او سرآمدِ کارهای دست خداست، و تنها خالقش می‌تواند با شمشیرش به او نزدیک شود.
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
کوهها بهترین علوفهٔ خود را به او می‌دهند و حیوانات وحشی در کنار او بازی می‌کنند.
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
زیر درختانِ کُنار، در نیزارها دراز می‌کشد
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
و سایهٔ آنها او را می‌پوشانند و درختان بید کنار رودخانه او را احاطه می‌کنند.
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
طغیان رودخانه‌ها او را مضطرب نمی‌سازد و حتی اگر امواج جوشان رود اردن بر سرش بریزد، ترس به خود راه نمی‌دهد.
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
هیچ‌کس نمی‌تواند قلاب به بینی او بزند و او را به دام اندازد.

< Ayubu 40 >