< Ayubu 40 >
1 Bwana akamwambia Ayubu:
Un Tas Kungs atbildēja Ījabam un sacīja:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
Vai vainotājs ies tiepties ar to Visuvareno? Kas Dievu pamāca, lai uz to atbild!
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
Bet Ījabs atbildēja Tam Kungam un sacīja:
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
Redzi, es esmu mazs, ko lai es Tev atbildu? Es likšu roku uz muti.
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
Es reiz esmu runājis, bet vairs neatbildēšu; un otru reiz, bet vairs to nedarīšu.
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
Un Tas Kungs atbildēja Ījabam no vētras un sacīja:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
Apjoz jel kā vīrs savus gurnus, tad Es tev gribu vaicāt, un tu mani māci.
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
Vai tu Manu tiesu iznīcināsi, vai tu Mani pazudināsi, ka tu būtu taisns?
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
Jeb vai tev ir tāds elkonis kā tam stipram Dievam, vai tev ir pērkona balss kā viņam?
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
Aptērpies tad ar greznību un augstību, un apģērbies ar lielu godu un godību.
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
Izgāz savas dusmības bardzību, un uzlūko visus lepnos un pazemo tos.
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
Uzlūko visus lepnos un gāz tos zemē un satriec tos bezdievīgos savā vietā.
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
Guldi tos kapā pīšļos un sedz viņu vaigus ar tumsību.
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
Tad arī Es tevi teikšu, ka tava labā roka tev palīdzējusi.
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
Redzi nu, beēmots (upes-zirgs), ko Es līdz ar tevi esmu radījis, ēd zāli kā vērsis.
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
Redzi jel, viņa spēks ir viņa gurnos un viņa stiprums viņa vēdera dzīslās.
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
Viņš kustina savu asti kā ciedra koku, viņa cisku dzīslas kopā ir sapītas.
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
Viņa kauli ir kā ciets varš, viņa locekļi kā dzelzs mieti.
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
Viņš ir Dieva ceļu pirmais; kas viņu radījis, Tas viņam devis savu zobenu.
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
Kalni viņam izdod barību, un tur trencās visi lauka zvēri.
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
Koku biezumā viņš apgulstas, niedrēs un dūņās paslēpies.
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
Koku biezums viņu apsedz ar savu ēnu, upes kārkli viņu apslēpj.
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
Redzi, kad upe plūst, tad viņš nedreb, viņš ir drošs, kad Jardāne pat līdz viņa mutei celtos.
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
Vai viņu var gūstīt, viņa acīm redzot? vai viņam virvi var vilkt caur nāsīm?