< Ayubu 40 >
1 Bwana akamwambia Ayubu:
I Jahve se obrati Jobu i reče mu:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
“Zar će se s Jakim preti još kudilac? Tužitelj Božji nek' sam odgovori!”
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
A Job odgovori Jahvi i reče:
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
“Odveć sam malen: što da odgovorim? Rukom ću svoja zatisnuti usta.
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
Riječ rekoh - neću više započeti; rekoh dvije - al' neću nastaviti.”
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
Nato Jahve odgovori Jobu iz oluje i reče:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
“Bokove svoje opaši k'o junak, ja ću te pitat', a ti me pouči.
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
Zar bi i moj sud pogaziti htio, okrivio me da sebe opravdaš?
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
Zar ti mišica snagu Božju ima, zar glasom grmjet' možeš poput njega?
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
Ogrni se sjajem i veličanstvom, dostojanstvom se odjeni i slavom.
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
Plani dÓe bijesom ognja jarosnoga, pogledom jednim snizi oholnika.
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
Ponositoga pogledaj, slomi ga, na mjestu satri svakoga zlikovca.
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
U zemlju sve njih zajedno zakopaj, u mračnu ih pozatvaraj tamnicu.
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
Tada ću i ja tebi odat' hvalu što si se svojom desnicom spasio.
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
A sada, dÓe promotri Behemota! Travom se hrani poput govečeta,
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
u bedrima je, gle, snaga njegova, a krepkost mu u mišićju trbušnom.
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
Poput cedra rep podignut ukruti, sva su mu stegna ispreplele žile.
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
Mjedene cijevi kosti su njegove, zglobovi mu od željeza kvrge.
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
Prvenac on je Božjega stvaranja; mačem ga je naoružao tvorac.
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
Gore mu danak u hrani donose i sve zvijerje što po njima se igra.
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
Pod lotosom on zavaljen počiva, guštik močvarni i glib kriju ga.
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
Sjenu mu pravi lotosovo lišće, pod vrbama on hladuje potočnim.
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
Nabuja li rijeka, on ne strahuje: nimalo njega ne bi zabrinulo da mu u žvale i sav Jordan jurne.
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
Tko bi za oči uhvatio njega i tko bi mu nos sulicom probio?