< Ayubu 40 >

1 Bwana akamwambia Ayubu:
上主又接著問約伯說:
2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
好辯之士,豈能同全能者辯論﹖非難天主的,請答覆這一切!
3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
約伯回答上主說:「
4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
看,我這麼卑賤,我能回答什麼﹖只好用手掩口。
5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
我說過一次,再不敢重複;我再說一次:我不敢再說什麼! 」
6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
上主由旋風中回答約伯說:
7 “Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
你要像勇士束好腰,我要問你,請指教我。
8 “Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
你豈能推翻我的評斷,歸罪於我,而自以為有理﹖
9 Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
你的手臂豈能同天主的相比﹖你的聲音,那能像雷鳴﹖
10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
請你以尊貴和高雅作你的點綴,以光華美麗作你的衣裳;
11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
發洩你的烈怒,貶抑一切高傲的人;
12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
視察一切傲慢的人,且加以制服,推翻惡人所處的地位;
13 Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
將他們一同埋在土中,把他們都關在黑暗中!
14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
如果你能這樣作,我也要稱讚你,因為你的右手救護了你。
15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
且看河馬,牠同你都是我造成的,牠像牛一樣吃草。
16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
牠的精力全在腰部,牠的力量是在腹部的肌肉;
17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
牠挺起尾巴好像香柏,大腿上的筋聯結在一起;
18 Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
牠的脊骨好似銅管,牠的骨骸有如鐵杠。
19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
牠是天主的傑作,造牠者賜給了牠利刃。
20 Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
群山供給牠食物,百獸在那裏同牠遊戲。
21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
牠臥在蓮葉之下,躺在蘆葦和沼澤深處;
22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
蓮葉的蔭影遮蔽著牠,溪邊的楊柳掩護著牠。
23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
河水漲溢之時,牠毫不戰慄;約但河漲到牠口邊,牠仍安寧。
24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?
誰能在牠目前捕捉牠,或以木橛穿透牠的鼻孔﹖

< Ayubu 40 >