< Ayubu 39 >
1 “Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake?
Di da goumia esalebe goudi ilia lalelegesu eso dawa: sala: ? Di da sigua ‘dia’ gebo ilia mano lalelegei hou ba: bela: ?
2 Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo? Je, unajua majira yao ya kuzaa?
Di da ilia eso habodayane galuiyale dawa: bela: Di da ilia lalelegemu eso ilegei dawa: sala: ?
3 Wao hujiinamisha na kuzaa watoto wao; utungu wa kuzaa unakoma.
Ilia habogala mano lamusa: beguduli lobo gaguladabe, amo di dawa: bela: ?
4 Watoto wao hustawi na kuongezeka nguvu nyikani; huenda zao wala hawarudi tena.
Ilia da iwiladafa amo ganodini gasa lale, alesa. Ilia da ga asili, hame buhagisa.
5 “Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru? Ni nani aliyezifungua kamba zake?
Sigua dougi halegale masa: ne, nowa ilia logo doasibala: ?
6 Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake, nchi ya chumvi kuwa makao yake.
Na da ili amogai esaloma: ne, hafoga: i soge ilima i. Ilia da hafoga: i deme (sali) dialebe umiga esaloma: ne, Na logo doasi.
7 Huzicheka ghasia za mji, wala hasikii kelele za mwendesha gari.
Ilia sia: gulubagebe moilai bai bagade gadenene hame esala. Amola dunu ilia da ili fofole amola ilia hawa: hamoma: ne sia: mu hamedei ba: sa.
8 Huzunguka vilimani kwa ajili ya malisho na kutafuta kila kitu kibichi.
Ilia goumia mola: iya: i ha: i manu hogosa.
9 “Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?
Sigua bulamagau gawali da digili hawa: hamonesima: bela: ? E da dia bulamagau diasuga gasi afae esaloma: bela: ?
10 Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?
Di da sigua bulamagau gawali afaema efe gomenesili, osobo gidinama: ne sia: mu dawa: bela: ? Di da e gomenesili, osobo gisuga gima: ne sia: mu dawa: bela: ?
11 Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?
Di da ea gasa bagade amoga e da dia hawa: hamosu fawane hamoma: ne dafawaneyale dawa: bela: ?
12 Utaweza kumwamini akuletee nafaka yako nyumbani kutoka shambani na kuikusanya kwenye sakafu yako ya kupuria?
E da dia bugi gamisu dima gaguli misa: bela: ? E da gagoma dia dabasu faia dialebe, amo gagadole lidima: bela: ?
13 “Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa na manyoya ya korongo.
‘Osadaligi’ (wida agoai) ea ougia da hedolodafa dada ahoa. Be ‘osadaligi’ afae da ‘sidoge’ ea hagili ahoabe defele hame dawa:
14 Huyataga mayai yake juu ya ardhi, na kuyaacha yapate joto mchangani,
‘Osadaligi’ da ea oso da osobo da: iya dogoloma: ne legesa.
15 bila kujali kuwa mguu waweza kuyaponda, kwamba baadhi ya wanyama wa porini wanaweza kuyakanyaga.
Be e da asigi dawa: su hame dawa: beba: le, amo oso da emoga hasalasimu o sigua ohe amoga goudanisimu, amo e da hame dawa:
16 Yeye huyafanyia makinda yake ukatili kama vile si yake; hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa bure,
E da amo oso da ea: hameyale defele, e da hamosa. E da ea oso udigili legebayale dawa: beba: le, hame da: i diosa.
17 kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima, wala hakumpa fungu la akili njema.
Be Ni fawane da e gagaoulisi, amola ema bagade dawa: su hame i.
18 Lakini akunjuapo mabawa yake kukimbia, humcheka farasi pamoja na yeye aliyempanda.
Be e da muni hehenane ahoasea, e da hosi amola hosi fila heda: i dunu amoba: le ousa.
19 “Je, wewe humpa farasi nguvu au kuivika shingo yake manyoya marefu?
Yoube! Di fawane da hosi ilima gasa ibala: ? Di fawane da ilima ilia mugi hinabo sedade ibala: ?
20 Je, wewe humfanya farasi aruke kama nzige, akistaajabisha kwa tishio la mlio wake wa majivuno?
Di da ili danuba: defele soagagala: ma: ne ilima ibala: ? Amola ili dunu beda: ma: ne hagogala: ma: ne hamobela: ?
21 Huparapara bila woga, akizifurahia nguvu zake, husonga mbele kukabiliana na silaha.
Hosi da nimiwane osobo fagoa gudu gigila: sa. Ilia da ilia gasa huluane defele, gegemusa: hehenasa.
22 Huicheka hofu, haogopi chochote, wala haukimbii upanga.
Ilia da beda: su hamedafa dawa: Amola gegesu gobihei afae da ili sinidigima: ne hamomu hame dawa:
23 Podo hutoa sauti kando yake, pamoja na mkuki unaongʼaa na fumo.
Ilima fila heda: i dunu ilia gegesu liligi da ginina: ginina: sa, amola esoga baba gaga: la: sa.
24 Bila woga na kwa ghadhabu huimeza nchi, wala tarumbeta iliapo yeye hawezi kusimama.
Fofogadigili yaguguli, ilia misosogane hehenasa. Gegesu dalabede da wesea, ilia da nimi agoane fofoga: sa.
25 Asikiapo sauti ya baragumu yeye hulia, ‘Aha!’ Hunusa harufu ya vita toka mbali, sauti ya mtoa amri na ukelele wa vita.
Dalabede da afae wele gasea, hosi da hagogala: sa. Ilia da gegesua hame gadeneawane, nimi gaha naba. Ilia dadi gagui ouligisu dunu ilia hamoma: ne wele sia: su naba.
26 “Je, mwewe huruka kwa hekima yako na kuyakunjua mabawa yake kuelekea kusini?
Buhiba da ea ougia ga (south) amodili da: legasea, di da hagili ahoabe amo ema olelebela: ?
27 Je, tai hupaa juu kwa amri yako na kujenga kiota chake mahali pa juu?
Sia sio da goumi gadodafa amo da: iya bibimusa: dawa: sea, e da hidadea dia hamoma: ne sia: nabimusa: ouesaloma: bela: ?
28 Huishi juu ya miamba mirefu na kukaa huko usiku; majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake.
E da igi gadodafa da: iya bibisa. Amola goumi agesone fisiagagadoi, da ea gagili sali diasu agoai gala.
29 Kutoka huko hutafuta chakula chake; macho yake hukiona kutoka mbali.
Amogainini, e da ga amola gadenene huluane liligi medoma: ne amola moma: ne hogosa.
30 Makinda yake hujilisha damu, na pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo.”
Sia sio ilia da bogoi da: i manusa: beba: le sisiga: sa. Waha debe sia da maga: me nososa.