< Ayubu 38 >

1 Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
آنگاه خداوند از درون گردباد به ایوب چنین پاسخ داد:
2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
این کیست که با حرفهای پوچ و بی‌معنی حکمت مرا رد می‌کند؟
3 Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
حال، مثل یک مرد بایست و به پرسش من پاسخ بده.
4 “Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
وقتی زمین را بنیاد نهادم تو کجا بودی؟ اگر می‌دانی به من بگو.
5 Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
آیا می‌دانی اندازه‌های زمین چگونه تعیین شد و چه کسی آن را با شاقول اندازه گرفت؟
6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
آیا می‌دانی وقتی در میان بانگ شادی ستارگان صبح و فرشتگان آسمان، زمین بنیاد نهاده می‌شد، پایه‌های آن بر چه چیز قرار گرفت و سنگ زاویهٔ آن را چه کسی کار گذاشت؟
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
وقتی دریا از شکم زمین بیرون آمد چه کسی برای آن حد گذاشت؟
9 nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
این من بودم که دریا را با ابرها پوشاندم و با تاریکی غلیظ آن را قنداق کردم،
10 nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
حدود آن را تعیین نمودم و با سواحل، آن را محصور کردم.
11 niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
به دریا گفتم: «از اینجا جلوتر نیا و موجهای سرکش تو از این حد تجاوز نکنند!»
12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
آیا در تمام عمرت هرگز به خورشید فرمان داده‌ای که طلوع کند؟
13 yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
آیا هرگز به روشنایی روز گفته‌ای که کرانه‌های زمین را در بر بگیرد تا شرارت شب رخت بربندد؟
14 Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
زمین مثل موم زیرِ مُهر تغییر شکل می‌دهد، و نقشهای آن مانند نقشهای لباس، نمایان می‌شود.
15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
نورِ شریران از آنها گرفته می‌شود، و دستشان که برای ظلم دراز شده، می‌شکند.
16 “Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
آیا چشمه‌هایی را که دریاها از آن جاری می‌گردند کشف کرده‌ای و یا به اعماق دریاها قدم گذاشته‌ای؟
17 Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
آیا دروازه‌های دنیای تاریک مردگان را دیده‌ای؟
18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
آیا می‌دانی پهنای زمین چقدر است؟ اگر می‌دانی به من بگو!
19 “Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
آیا می‌دانی روشنایی و تاریکی از کجا می‌آیند؟
20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
آیا می‌توانی حدودشان را پیدا کنی و به سرچشمهٔ آنها برسی؟
21 Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
البته تو همهٔ این چیزها را می‌دانی! مگر نه این است که تو هنگام خلقت دنیا وجود داشته‌ای!
22 “Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
آیا تو مخزنهای برف را دیده‌ای؟ آیا می‌دانی تگرگ در کجا ساخته و انبار می‌شود؟
23 ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
من آنها را برای زمان جنگ و بلا ذخیره کرده‌ام.
24 Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
آیا می‌دانی روشنایی از کجا می‌تابد و باد شرقی از کجا می‌وزد؟
25 Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
چه کسی دره‌ها را برای سیلابها حفر نمود و مسیر برق آسمان را تعیین کرد؟ چه کسی باران را بر بیابانهای خشک و متروک می‌باراند تا زمین ویران و بایر سیراب گشته گیاهان تازه برویاند؟
26 ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
27 ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
28 Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
آیا باران یا شبنم پدری دارد؟
29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
کیست که یخ را به وجود می‌آورد و شبنم را تولید می‌کند،
30 wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
آب را به یخ مبدل می‌سازد و سطح دریا را مانند سنگ، منجمد می‌نماید؟
31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
آیا می‌توانی مجموعهٔ ستارگان پروین را به هم ببندی؟ یا رشتهٔ منظومهٔ جبار را باز کنی؟
32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
آیا می‌توانی گردش منظم فصول را اداره کنی و دب اکبر را با ستارگانش در آسمان هدایت نمایی؟
33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
آیا از قوانین آسمان سر در می‌آوری و می‌دانی اینها چه تأثیری بر زمین دارند؟
34 “Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
آیا می‌توانی بر سر ابرها فریاد بزنی تا که سیلابها تو را بپوشاند؟
35 Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
آیا می‌توانی به برق آسمان دستور دهی در مسیرش روانه شود؟ و آیا او فرمان تو را اطاعت خواهد کرد؟
36 Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
کیست که فهم و شعور به انسان می‌دهد؟
37 Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
کیست که با حکمتش ابرها را می‌شمارد و مشکهای آب آسمان را بر زمین خالی می‌کند
38 wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
و خاک را به صورت کلوخهای گلی درمی‌آورد؟
39 “Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
آیا می‌توانی برای ماده شیر و بچه‌هایش که در لانهٔ خود لمیده و یا در جنگل به کمین نشسته‌اند، خوراک تهیه کنی تا شکمشان را سیر کنند؟
40 wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
وقتی کلاغها به این سو و آن سو پرواز می‌کنند تا شکم گرسنهٔ خود و جوجه‌هایشان را که نزد خدا فریاد برمی‌آورند سیر کنند، چه کسی برایشان خوراک تهیه می‌کند؟

< Ayubu 38 >