< Ayubu 38 >

1 Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
Nu nam Jahweh het woord, en sprak tot Job in de storm:
2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
Wie zijt gij, die de Voorzienigheid duister maakt Door woorden zonder verstand?
3 Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
Omgord uw lenden als een man, Ik zal u vragen stellen, gij moogt Mij leren!
4 “Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
Waar waart ge, toen Ik de aarde grondde: Vertel het, zo ge er iets van weet!
5 Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
Wie heeft haar grootte bepaald: gij weet het zo goed; Wie het meetsnoer over haar gespannen?
6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
Waarop zijn haar zuilen geplaatst, Of wie heeft haar hoeksteen gelegd:
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
Onder het gejuich van het koor der morgensterren, Het jubelen van de zonen Gods?
8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
Wie heeft de zee achter deuren gesloten, Toen zij bruisend uit de moederschoot kwam;
9 nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
Toen Ik haar de wolken gaf als een kleed, De nevel als haar windsels;
10 nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
Toen Ik haar grenzen heb gesteld, Slagboom en grendels haar gaf;
11 niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
Toen Ik sprak: Ge komt tot hier en niet verder, Hier wordt de trots van uw golven gebroken!
12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
Hebt gij ooit in uw leven de morgen ontboden, De dageraad zijn plaats bestemd,
13 yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
Om de zomen der aarde te bezetten En er vlammen uit te schudden?
14 Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
Zij flonkert als een kostbare zegelsteen, Wordt bontgeverfd als een kleed,
15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
Totdat de stralen hun licht wordt ontnomen, Hun opgeheven arm wordt gebroken.
16 “Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
Zijt ge doorgedrongen tot de bronnen der zee, Hebt ge de bodem van de Oceaan bewandeld;
17 Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
Zijn u de poorten des doods getoond, De wachters der duisternis u verschenen;
18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
Hebt ge de breedten der aarde omvat: Zeg op, wanneer ge dit allemaal weet!
19 “Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
Waar is de weg naar de woning van het licht, En waar heeft de duisternis haar verblijf,
20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
Zodat gij ze naar hun plaats kunt brengen, En hun de paden naar huis kunt leren?
21 Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
Ge weet het toch, want toen werdt ge geboren, Het getal van uw jaren is immers zo groot!
22 “Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
Zijt ge doorgedrongen tot de schuren der sneeuw, Hebt ge de opslagplaatsen van de hagel aanschouwd,
23 ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
Die Ik heb opgespaard voor de tijd van benauwing, Voor de dag van aanval en strijd?
24 Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
Waar is de weg, waar de kou zich verspreidt, Waar de oostenwind over de aarde giert?
25 Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
Wie heeft voor de stortvloed kanalen gegraven, En paden voor de donderwolken,
26 ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
Om regen te geven op onbewoond land, Op steppen, waar zich geen mens bevindt;
27 ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
Om woestijn en wildernis te verzadigen, Uit de dorre grond het gras te doen spruiten?
28 Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
Heeft de regen een vader, Of wie heeft de druppels van de dauw verwekt;
29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
Uit wiens schoot is het ijs te voorschijn gekomen, Wie heeft het rijp in de lucht gebaard?
30 wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
De wateren worden hard als steen, De vlakte van de Afgrond sluit zich aaneen!
31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
Kunt gij de banden der Plejaden knopen, Of de boeien van de Orion slaken;
32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
Kunt gij de maan op tijd naar buiten doen treden, Leidt gij de Beer met zijn jongen?
33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
Schrijft gij de hemel de wetten voor, Stelt gij zijn macht over de aarde vast;
34 “Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
Verheft gij uw stem tot de wolken, Gehoorzaamt ù de watervloed?
35 Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
Zendt gij de bliksems uit, en ze gaan; Zeggen ze tot u: Hier zijn we terug?
36 Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
Wie heeft inzicht aan den reiger gegeven Verstand geschonken aan den haan;
37 Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
Wie telt met wijsheid de wolken af, En giet de zakken van de hemel leeg:
38 wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
Wanneer de bodem hard is als ijzer, De kluiten aan elkander kleven?
39 “Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
Jaagt gij een prooi voor de leeuwin, Stilt gij de honger der welpen,
40 wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
Wanneer ze in hun holen liggen, Of loeren tussen de struiken?
41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
Wie geeft ze tegen de avond haar buit, Wanneer haar jongen tot de Godheid roepen, En zonder voedsel rond blijven snuffelen, Op zoek naar spijs?

< Ayubu 38 >