< Ayubu 38 >
1 Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
Tedy odpověděl Hospodin Jobovi z vichru, a řekl:
2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
Kdož jest to, jenž zatemňuje radu řečmi neumělými?
3 Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
Přepaš nyní jako muž bedra svá, a nač se tebe tázati budu, oznam mi.
4 “Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
Kdes byl, když jsem zakládal zemi? Pověz, jestliže máš rozum.
5 Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
Kdo rozměřil ji, víš-li? Aneb kdo vztáhl pravidlo na ni?
6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
Na čem podstavkové její upevněni jsou? Aneb kdo založil úhelný kámen její,
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
Když prozpěvovaly spolu hvězdy jitřní, a plésali všickni synové Boží?
8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
Aneb kdo zavřel jako dveřmi moře, když vyšlo z života, a zjevilo se?
9 nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
Když jsem mu položil oblak za oděv, a mrákotu místo plének jeho,
10 nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
Když jsem jemu uložil úsudek svůj, přistaviv závory a dvéře,
11 niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
I řekl jsem: Až potud vycházeti budeš, a dále nic, tu, pravím, skládati budeš dutí vlnobití svého.
12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
Zdaž jsi kdy za dnů svých rozkázal jitru? Ukázal-lis záři jitřní místo její,
13 yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
Aby uchvacovala kraje země, a bezbožní aby z ní vymítáni byli?
14 Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
Tak aby proměnu přijímala jako vosk pečetní, oni pak aby nedlouho stáli jako roucho,
15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
A aby bezbožným zbraňováno bylo světla jejich, a rámě vyvýšené zlámáno bylo?
16 “Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
Přišel-lis až k hlubinám mořským? A u vnitřnosti propasti chodil-lis?
17 Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
Jsou-li tobě zjeveny brány smrti? A brány stínu smrti viděl-lis?
18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
Shlédl-lis širokosti země? Oznam, jestliže ji znáš všecku.
19 “Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
Která jest cesta k obydlí světla, a které místo temností,
20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
Že bys je pojal v meze jeho, poněvadž bys srozumíval stezkám domu jeho?
21 Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
Věděl-lis tehdáž, že jsi měl se naroditi, a počet dnů tvých jak veliký býti má?
22 “Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
Přišel-lis až ku pokladům sněhu? A poklady krupobití viděl-lis,
23 ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
Kteréž chovám k času ssoužení, ke dni bitvy a boje?
24 Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
Kterými se cestami rozděluje světlo, kteréž rozhání východní vítr po zemi?
25 Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
Kdo rozdělil povodní tok, a cestu blýskání hromovému,
26 ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
Tak aby pršel déšť i na tu zemi, kdež není lidí, na poušť, kdež není člověka,
27 ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
Aby zapájel místa planá a pustá, a k zrůstu přivodil trávu mladistvou?
28 Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
Má-liž déšť otce? A kdo plodí krůpěje rosy?
29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
Z čího života vychází mráz? A jíní nebeské kdo plodí?
30 wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
Až i vody jako v kámen se proměňují, a svrchek propasti zamrzá.
31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
Zdali zavázati můžeš rozkoše Kuřátek, aneb stahování Orionovo rozvázati?
32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
Můžeš-li vyvoditi hvězdy polední v čas jistý, aneb Arktura s syny jeho povedeš-li?
33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
Znáš-li řád nebes? Můžeš-li spravovati panování jejich na zemi?
34 “Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
Můžeš-li pozdvihnouti k oblaku hlasu svého, aby hojnost vod přikryla tebe?
35 Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
Ty-liž vypustíš blýskání, aby vycházela? Zdaliž řeknou tobě: Aj teď jsme?
36 Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
Kdo složil u vnitřnostech lidských moudrost? Aneb kdo dal rozumu stižitelnost?
37 Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
Kdo vypravovati bude o nebesích moudře? A láhvice nebeské kdo nastrojuje,
38 wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
Aby svlažená země zase stuhnouti mohla, a hrudy se v hromadě držely?
39 “Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
Honíš-liž ty lvu loupež? A hltavost lvíčat naplňuješ-liž,
40 wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
Když se stulují v peleších svých, ustavičně z skrýší čihajíce?
41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
Kdo připravuje krkavci pokrm jeho, když mladí jeho k Bohu silnému volají, a toulají se sem i tam pro nedostatek pokrmu?