< Ayubu 38 >
1 Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
Amalalu, foga mulu bagade amodili, Hina Gode da Youbema amane sia: i,
2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
“Di da abuliba: le Na bagade dawa: su hou da defele hame sia: sala: ? Dia sia: da gagaoui amola hamedei sia: fawane.
3 Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
Wali, molole wa: legadole, Na dima adole ba: be amo nama dabe adole ima.
4 “Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia? Niambie, kama unafahamu.
Na da osobo bagade hahamonoba, di amogawi esalebe ba: bela: ? Di da liligi huluane dawa: beba: le, Nama dabe adole ima.
5 Ni nani aliyeweka alama vipimo vyake? Hakika wewe unajua! Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
Nowa da osobo bagade ea defei ilegebela: ? Nowa da amo defemusa: , defesu efe bobaila: ? Di da adole iasu huluane dawa: sala: ?
6 Je, misingi yake iliwekwa juu ya nini, au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
Fedege agoane, dunu bugi amo da osobo bagade udidia gadosa, amo adiga udidisala: ? Osobo bagade ea igi bai bagade, nowa da fa: bela: ?
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, na malaika wote walipokuwa wakipiga kelele kwa furaha?
Osobo bagade hahamoi eso hehebolo amoga gasumuni huluane da gilisili gesami hea: lalu. Amola Hebene esalebe fi huluane da hahawaneba: le, wele sia: i.
8 “Ni nani aliyeifungia bahari milango ilipopasuka kutoka tumbo,
Hano wayabo bagade da musa: osobo bagade dogoa ganodini galu amo fudagala: le, ga ahoanoba, osobo bi hamoi amo hasalasisa: besa: le, nowa da ea logo hedofama: ne, logo ga: su ga: sibala: ?
9 nilipoyafanya mawingu kuwa vazi lake, na kuyafungia katika giza nene,
Na Nisu fawane da hano wayabo bagade mumobiga dedebolesi dagoi. Na Nisu fawane da hano wayabo bagade gasiga lala: boloi.
10 nilipoamuru mipaka yake, na kuiweka milango yake na makomeo mahali pake,
Na da hano wayabo bagade alalo ilegei, amola ga mae masa: ne logo gaga: lesi.
11 niliposema, ‘Unaweza kufika mpaka hapa wala si zaidi; hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi yatakapokomea’?
Na da hano wayabo bagadema amane sia: i, ‘Dia alalo da goea! Amo mae baligigama! Dia gasa bagade gafulubi amoga, amo alalo mae baligiligama!’
12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,
Yoube! Di da dia esalusu ganodini huluane amo eso hehebolo misa: ne sia: bela: ?
13 yapate kushika miisho ya dunia, na kuwakungʼuta waovu waliomo?
Di da hehebolo amoma amane hamoma: ne sia: bela: ? ‘Osobo bagade gagulaligima! Wadela: i hamosu dunu ilia wamoaligisu amoga uguguli gugudili fasima!’ Di da amo hamoma: ne sia: bela: ?
14 Dunia hubadilika kama udongo wa mfinyanzi chini ya lakiri; sura yake hukaa kama ile ya vazi.
Haiyoga, agolo amola fago ilia da abula miginisisi amola laga osoboga dedei agoane, noga: i ba: sa.
15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
Wadela: i hamosu dunu da esohaiyo si gagasenei agoai ba: sa. Bai amo da ilia wadela: le hamomu logo hedofasa.
16 “Je, umepata kufika kwenye chemchemi za bahari? Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi?
Di da hano wayabo bagade lugudu amoga gudunini bubuga: ne gadobe amo ba: la asibala: ? Di hano wayabo bagade amo hano oso hagudu amo da: iya lalula: ?
17 Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti?
Dunu afae da dima logo ga: su, amo da bogoi gasi soge ga: sibi, amo dima olebela: ?
18 Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? Niambie kama unajua haya yote.
Di da osobo bagade ea bagade defei amo dawa: bela: ? Dia da dawa: i galea, nama adoma!
19 “Njia ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Nako maskani mwa giza ni wapi?
Dia da hadigi ea mabe bai dawa: bela: ? Amola gasi ea banuguma dawa: bela: ?
20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?
Dia da hadigi amola gasi amoma ela masa: ne olemu dawa: bela: ? Amola ela bu sinidigima: ne adomu dawa: sala: ?
21 Hakika unajua, kwa kuwa ulikuwa umeshazaliwa! Kwani umeishi miaka mingi!
Dafawane! Di da amo hou huluane dawa: ! Di da da: i hamoi dagoi. Amola Na da osobo bagade hahamoloba, di amo amogai esalula: ?
22 “Je, umeshawahi kuingia katika ghala za theluji, au kuona ghala za mvua ya mawe,
Di da liligi legesu diasu amoga Na da mugene (snow) amola mugene ga: nasi (hail) legesa, amoga ba: la asibala: ?
23 ambazo nimeziweka akiba kwa ajili ya wakati wa taabu, na kwa ajili ya wakati wa vita na mapigano?
Na da gegesu amola bidi hamosu eso amoga, ha lai dunuma gegema: ne amo liligi ouligisa.
24 Ni ipi njia iendayo mahali umeme wa radi unapotawanyiwa, au mahali upepo wa mashariki unaposambaziwa juu ya dunia?
Di da eso ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ? Di da gusudili fo ea mabe sogebi amo ba: la asibala: ?
25 Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji mengi ya mvua yaendayo kasi na njia ya umeme wa radi,
Gibu bagade dasea, hano sa: ima: ne, nowa ogabela: ? Isu gibula bobodole masa: ne, nowa da logo fodobela: ?
26 ili kusababisha mvua kunyeshea mahali pasipokaliwa na mtu, jangwa lisilo na yeyote ndani yake,
Dunu hame esalebe soge amogai gibu sa: ima: ne, nowa da hamobela: ?
27 ili kuitosheleza nchi ya ukiwa na jangwa, na majani yaanze kumea ndani yake?
Gisi noga: le heda: ma: ne, nowa da hafoga: i sogega gibu iabela: ?
28 Je, mvua ina baba? Ni nani baba azaaye matone ya umande?
Gibu amola oubi baeya ela da eda ganabela: ?
29 Barafu inatoka tumbo la nani? Ni nani azaaye ukungu kutoka mbinguni,
‘Aisi’ amola mugene ela eme da nowala: ?
30 wakati maji yawapo magumu kama jiwe, wakati uso wa vilindi vya maji unapoganda?
Mugene da hano amo igi ga: nasi agoai hamosa, amola hano wayabo bagade ea odagi ga: nasi hamosa.
31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia? Waweza kulegeza kamba za Orioni?
Di da Balia: idese gasumuni ili dodobole la: la: gimusa: dawa: bela: ? Di da Olione gasumuni la: la: gi fadegamusa: dawa: bela: ?
32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake, au kuongoza Dubu na watoto wake?
Di da eso huluane gasumuni ilima logo olelemusa: dawa: bela: ? Di da Bea Bagade amola Bea Fonobahadi gasumuni ilima masunu logo olelemusa: dawa: bela: ?
33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu? Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?
Di da malei amo da mu ouligibi, amo dawa: bela: ? Amola amo malei da osobo bagade ouligima: ne, afadenemusa: dawa: bela: ?
34 “Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni, na kujifunika mwenyewe na gharika ya maji?
Di da mumobima, ili hamoma: ne wele sia: mu dawa: bela: ? Amola ili dia gibuga nanegama: ne sia: musa: dawa: bela: ?
35 Je, wewe hutuma umeme wa radi kwenye njia zake? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi tuko hapa’?
Amola di da ha: ha: nama nene gala: ma: ne sia: sea, ha: ha: na da dima misini, ‘Na da dia hamoma: ne sia: i defele hamomu’, amane sia: ma: bela: ?
36 Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
Nowa da aowahea sio amoma Naile hano ea fili gala: be eso olelesala: ? Nowa da gagala gawalima gibu da sa: ima: ne sia: sala: ?
37 Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
38 wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
Nowa ea bagade dawa: suga mumobi idima: bela: ? Amola nowa ea bagade dawa: suga mumobi amo gibu sogadigima: ne, giwigilisimusa: dawa: sala: ? (Gibu da gulu ganumu ga ganumunisisa.)
39 “Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40 wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
Laione wa: me amola ha: aligi laione wa: me waha debe, amo da magufu gelaba amola ilia diasu ganodini wamoaligisa, di da iligili ha: i manu hogole iabela: ?
41 Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
Da: sio da ha: aligili udigili lalea, amola ilia mano da Nama ha: i manusa: dini iasea, nowa da ilima ha: i manu iahabela: ?