< Ayubu 37 >

1 “Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.
Deraf förskräcker sig mitt hjerta, och bäfvar.
2 Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake, sauti ya ngurumo itokayo kinywani mwake.
Hörer hans rösts skall, och det ljud som utaf hans mun går.
3 Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote na kuupeleka hata miisho ya dunia.
Han ser under alla himlar, och hans ljus skin uppå jordenes ändar.
4 Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake; Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari. Wakati sauti yake ingurumapo tena, huuachilia umeme wake wa radi.
Efter honom bullrar dundret, han dundrar med ett stort skall; och när hans dundrande hördt varder, kan man intet förhålla det.
5 Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu; yeye hutenda mambo makuu kupita ufahamu wetu.
Gud dundrar med sitt dunder grufveliga, och gör stor ting, och varder dock intet känd.
6 Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’ nayo manyunyu ya mvua, ‘Uwe mvua ya nguvu.’
Han talar till snön, så är han straxt här på jordene, och till regnskuren, så är regnskuren der med magt.
7 Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake, yeye humzuilia kila mtu shughuli zake.
Man förgömmer sig ibland alla menniskor, att folket skall känna hans verk.
8 Wanyama hujificha; hubakia kwenye mapango yao.
Vilddjuret kryper uti skjul, och blifver i sitt rum.
9 Dhoruba hutoka katika chumba chake, baridi hutoka katika upepo uendao kasi.
Sunnanefter kommer väder, och nordanefter köld.
10 Pumzi ya Mungu hutoa barafu, eneo kubwa la maji huganda.
Af Guds anda kommer frost, och stort vatten, då han utgjuter.
11 Huyasheheneza mawingu kwa maji, naye husambaza umeme wake wa radi kupitia hayo.
De tjocke skyar skilja sig, att klart skall varda, och igenom molnet utbrister hans ljus.
12 Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake, juu ya uso wa dunia yote, kufanya lolote ayaamuruyo.
Han vänder skyarna hvart han vill, att de skola göra allt det han bjuder dem på jordenes krets;
13 Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu, au kuinyeshea dunia yake na kuonyesha upendo wake.
Ehvad det är öfver en slägt, eller öfver ett land, då man finner honom barmhertigan.
14 “Ayubu, sikiliza hili; nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
Akta deruppå, Job; statt och förnim Guds under.
15 Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu, na kufanya umeme wake wa radi utoe mwanga?
Vetst du, när Gud låter detta komma öfver dem; och när han låter sina skyars ljus utgå?
16 Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?
Vetst du, huru skyarna utsprida sig; hvilka under de fullkomlige veta;
17 Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako wakati nchi imenyamazishwa kimya bila upepo wa kusini,
Att din kläder varm äro, då landet är stilla af sunnanväder?
18 je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga, zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya kuyeyushwa?
Ja, du utbreder icke skyarna med honom, hvilke starke äro, och anseende såsom en grund.
19 “Tuambieni yatupasayo kumwambia; hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa sababu ya ujinga wetu.
Låt oss höra hvad vi skole säga honom; förty vi räcke icke intill honom för mörker.
20 Je, aambiwe kwamba nataka kuongea? Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
Ho skall förtälja honom hvad jag talar? Om någor talar, han varder uppsluken.
21 Basi hakuna awezaye kulitazama jua, jinsi linavyongʼaa angani, upepo ukishafagia mawingu.
Nu ser man icke ljuset, som inom skyn lyser; men när vädret blås, göres det klart.
22 Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu; Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
Ifrå nordan kommer guld, den förskräckelige Gudi till lof;
23 Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza; katika hukumu zake na haki yake kuu, hataonea.
Men den Allsmägtiga kunna de intet finna, den så stor är i magtene; ty han måste ingen räkenskap göra af sinom rätt och rättfärdigom sakom.
24 Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni, kwa kuwa yeye hamstahi yeyote anayejidhania kuwa ana hekima.”
Derföre måste menniskorna frukta honom, och han fruktar inga visa.

< Ayubu 37 >