< Ayubu 36 >

1 Elihu akaendelea kusema:
Og videre sagde Elihu:
2 “Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
Bi nu lidt, jeg har noget at sige dig, thi end har jeg Ord til Forsvar for Gud.
3 Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
Jeg vil hente min Viden langvejsfra og skaffe min Skaber Ret;
4 Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
thi for vist, mine Ord er ikke Opspind, en Mand med fuldkommen Indsigt har du for dig.
5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
Se, Gud forkaster det stive Sind,
6 Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
den gudløse holder han ikke i Live; de arme lader han faa deres Ret,
7 Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
fra retfærdige vender han ikke sit Blik, men giver dem Plads for stedse hos Konger paa Tronen i Højhed.
8 Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
Og hvis de bindes i Lænker, fanges i Nødens Baand,
9 huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
saa viser han dem deres Gerning, deres Synder, at de hovmodede sig,
10 Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
aabner deres Øre for Tugt og byder dem vende sig bort fra det onde.
11 Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
Hvis de saa hører og bøjer sig, da ender de deres Dage i Lykke, i liflig Fryd deres Aar.
12 Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Men hører de ikke, falder de for Sværd og opgiver Aanden i Uforstand.
13 “Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
Men vanhellige Hjerter forbitres; naar han binder dem, raaber de ikke om Hjælp;
14 Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
i Ungdommen dør deres Sjæl, deres Liv faar Mandsskøgers Lod.
15 Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
Den elendige frelser han ved hans Elende og aabner hans Øre ved Trængsel.
16 “Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
Men dig har Medgangen lokket, du var i Fred for Ulykkens Gab; ingen Trængsel indjog dig Skræk, fuldt var dit Bord af fede Retter.
17 Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
Den gudløses som kom til fulde over dig, hans retfærdige Dom greb dig fat.
18 Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
Lad dig ikke lokke af Vrede til Spot eller Bødens Storhed lede dig vild!
19 Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
Kan vel dit Skrig gøre Ende paa Nøden, eller det at du opbyder al din Kraft?
20 Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
Ej maa du længes efter Natten, som opskræmmer Folkeslag der, hvor de er;
21 Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
va'r dig og vend dig ikke til Uret, saa du foretrækker ondt for at lide.
22 “Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Se, ophøjet er Gud i sin Vælde, hvo er en Lærer som han?
23 Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Hvo foreskrev ham hans Vej, og hvo turde sige: »Du gjorde Uret!«
24 Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
Se til at ophøje hans Værk, som Mennesker priser i Sang!
25 Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
Alle Mennesker ser det med Fryd, skønt dødelige skuer det kun fra det fjerne.
26 Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
Se, Gud er ophøjet, kan ikke ransages, Tal paa hans Aar kan ikke findes.
27 “Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
Thi Draaber drager han ud af Havet, i hans Taage siver de ned som Regn,
28 mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
og Skyerne lader den strømme og dryppe paa mange Folk.
29 Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
Hvo fatter mon Skyernes Vidder eller hans Boligs Bulder?
30 Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
Se, han breder sin Taage om sig og skjuler Havets Rødder;
31 Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
Thi dermed nærer han Folkene, giver dem Brød i Overflod;
32 Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
han hyller sine Hænder i Lys og sender det ud imod Maalet;
33 Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.
hans Torden melder hans Komme, selv Kvæget melder hans Optræk.

< Ayubu 36 >