< Ayubu 36 >
1 Elihu akaendelea kusema:
Fonobahadi eno gebewane ouesaloma! Amola na sia: nabima! Bai na da Gode Ea sia: dima alofele iaha.
2 “Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
3 Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
Na asigi dawa: su da bagade. Na da na asigi dawa: suga, na Hahamosu Gode da moloidafa, amo dima olelemu.
4 Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
Na da dima ogogosu hamedafa dawa: Na da dia midadi, bagadedafa dawa: su dunu agoai lela.
5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
Gode da gasa bagadedafa. E da dunu afae hame higasa. E da liligi huluanedafa dawa:
6 Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
E da wadela: i hamosu dunu gebewane esaloma: ne, logo hame doasisa. E da hame gagui dunuma mololedafa hamosa.
7 Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
E da molole hamosu dunu gaga: sa. E da ili hina bagade dunu defele, fi ouligisu hou ilima iaha. Amola dunu eno ilima eso huluane nodoma: ne, logo doasisa.
8 Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
Be fedege agoane, dunu ilia da wadela: le hamoiba: le sia: inega la: gili se nabawane esalea,
9 huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
E da ilia wadela: i hou amola hidale gasa fi hou ilima olelesa.
10 Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
E da ilima wadela: i hou yolesima: ne sisasu, amo noga: le nabima: ne sesesa.
11 Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
Ilia da Gode Ea sia: nabasea, amola Ema noga: le hawa: hamosea, ilia da olofole amola bagade gaguiwane esalumu.
12 Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Be amane hame hamosea, ilia da hame dawa: iwane bogomu. Fedege agoane, ilia da hano degele, bogosu sogega doaga: mu.
13 “Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
Gode Ea hou hame dawa: be dunu da mae fisili, gebewane ougiwane diala. Gode da ilima se dabe iasea, amolawane, ilia da Gode Ea fidima: ne hame sia: ne gadosa.
14 Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
Ilia da ayeligiwane bogosa. Ilia da ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu sogebiga, sama ea sama adole lasu hou bagadewane hamonanebeba: le, ilia da gasa guminisiba: le, hedolo bogosa.
15 Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
Be Gode da dunu ilia se nabasu hou amoga ilima olelesa. Amola ilia bidi hamosu ganodini, ilia si fadegasa.
16 “Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
Di da se nabawane bidi hamosu ganodini esaloba, Gode da di gadili oule asili gaga: iwane esaloma: ne hamoi. Dia ha: i manu da bagade lelegela heda: i ba: i.
17 Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
Be wali dia hamobe defele, E da dima se dabe iaha.
18 Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
Dawa: ma! Hano suligisu hou da dima ogogosa: besa: le, amola bagade gagui hou da di giadofale oule ahoasa: besa: le, dawa: ma.
19 Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
Di da digini fidima: ne wele sia: sea, fidisu hame ba: mu. Amola dia gasa bagade hou da wali dima fidimu hamedei.
20 Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
Fifi asi gala da gasia wadela: lesi dagoi ba: mu. Be amo gasi da doaga: ma: ne mae hanaiwane dawa: ma.
21 Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
Wadela: i hou hamosa: besa: le, dawa: ma. Bai dia wadela: le hamosu hedofama: ne, Gode da dima se nabasu hou iasi dagoi.
22 “Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
Gode Ea gasa da bagadedafa, amo bu dawa: ma. E da olelesu dunu huluane ilia hou baligisa.
23 Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
Dunu afae da Godema Ea hamomu logo olelemu da hamedei. Amola E da wadela: le hamonana, amo Ema diwaneya udidimu da hamedei.
24 Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
Eso huluane, dunu da Ea hamonanu ba: beba: le, Ema nodonanu. Di amola Ema nodonanumu da defea
25 Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
Dunu huluane da Ea hamonanu ba: i dagoi. Be ninia da sedaga lelawane, Ea hamobe ba: lala.
26 Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
Ninia Ea bagadedafa hou huluane, amola Ea esalebe ode amo dawa: mu da hamedei.
27 “Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
Gode Hi da osobo bagadega hano lale, amola amo afadenene, gibu dadadi hamosa.
28 mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
Ea hamobeba: le, gibu da mumobi amo gadodili dadafusa. Gibu da osobo bagade dunu huluane fidisa.
29 Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
Gode da mu ganodini esala. Be dunu afae da mu mobi ea ahoabe hou hamedafa dawa: Amola gugelebe ea geloloda: iya ahoabe hame dawa:
30 Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
Gode da ha: ha: na diga: be muagadodili iasisa. Be hano wayabo bagade ea lugudu da gasiwane dialebe ba: sa.
31 Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
Gode da amanewane osobo bagadema ha: i manu bagadewane iaha.
32 Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
E da Ea loboga ha: ha: na gagulaligisa. E da ha: ha: na amoma Ea ilegei amogai disili gala: ma: ne olelesa.
33 Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.
Gugelebe da mulu ea manebe olelesa. Amola bulamagau ili da gugelebe nabasea, isu gibula bobodobe da manebe dawa: sa.