< Ayubu 34 >
Og Elihu tok til ords og sagde:
2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
«Vismenner, høyr på ordi mine! Kunnige folk, lyd no på meg!
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
For ordi prøver ein med øyro, som ein med gomen maten smakar.
4 Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
So lat oss no det rette velja og saman finna ut det gode!
5 “Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
For Job hev sagt: «Eg skuldfri er; min rett hev Gud ifrå meg teke;
6 Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
tråss i min rett, stend eg som ljugar, uskuldig fekk eg ulivssår.»
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
Finst det vel nokon mann som Job? som gløyper hædings ord som vatn,
8 Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
som held med illgjerdsmenner lag, hev umgang med gudlause folk?
9 Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
For han hev sagt: «Kva gagnar det ein mann å vera ven med Gud?»
10 “Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
Difor, de menn med vit, høyr meg! D’er langt frå Gud å vera gudlaus, frå Allvalds-Gud å gjera urett.
11 Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Han løner mannen for hans gjerd, fer med han etter all hans ferd.
12 Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Nei, urettferdig er’kje Gud, og Allvald krenkjer ikkje retten.
13 Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
Kven let vel honom styra jordi? Og kven hev grunna jordheims-kringen?
14 Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
Um han på seg åleine tenkte og drog sin ande til seg att,
15 wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
då gjekk alt livande til grunns, og menneskja vart atter mold.
16 “Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
Um du er klok, so høyr på dette, og lyd på ljoden av mitt ord!
17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
Kann ein som hatar retten, styra? Fordømer du den allrettvise?
18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
Kann ein til kongen segja: «Niding!» Og til dei megtige: «Du brotsmann?»
19 yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
Til han som ei gjer skil på fyrstar, og ikkje vyrder rik mot fatig. Av di hans hand hev skapt deim alle?
20 Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Dei andast brått og midt um natti, eit folk avjagast og kverv burt, stormenn forgjengst i hjelpeløysa.
21 “Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
Hans augo ser til mannsens ferd, han skodar kvart eit stig han tek;
22 Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
det finst’kje skugge eller myrker der illgjerdsmenn kann løyna seg.
23 Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Han tarv’kje lenge sjå på mannen fyrr han lyt møta Gud til doms.
24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
Han utan forhøyr storfolk krasar og andre set i deira stad.
25 Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
Han kjennar heile deira verk og gjev um natti deim til tyning.
26 Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
Han tuktar deim som illgjerdsmenner, ein stad der alle kann det sjå,
27 kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
dei som hev vike burt frå han og ikkje hev hans vegar fylgt -
28 Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
so han kann høyra armods klaga og jammerskrik frå undertrykte.
29 Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
Fær han det stilt, kven vil fordøma? Løyner han seg - kven kann då sjå han? - for folkemugen og for mannen,
30 ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
so ikkje gudlaus mann skal råda og vera snaror yver folket.
31 “Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
For segjer ein vel so til Gud: «Ovmodigt hev eg bore meg; eg vil ikkje lenger vera vond.
32 Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Vis du meg det eg ikkje ser! hev eg gjort synd, vil eg snu um?»
33 Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
Skal han då straffa som du tykkjer? D’er du som er den misnøgde; so lyt du velja, ikkje eg; og du fær segja det du veit.
34 “Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
Dei kloke folk vil segja til meg, og kvar ein vismann som meg høyrer:
35 ‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
«Job talar ikkje med forstand hans ord er utan ettertanke.»
36 Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
Gjev Job må allstødt verta prøvd for sine svar på nidings vis!
37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
For han legg brotsverk til si synd og ber seg vyrdlaust millom oss, og talar mange ord mot Gud.»