< Ayubu 34 >

1 Kisha Elihu akasema:
Bukankah kamu pandai dan berakal budi? Nah, dengarkanlah segala perkataanku ini.
2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Orang tahu makanan enak bila mengecapnya, dan kata-kata bijak bila mendengarnya.
4 Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
Persoalan ini harus kita periksa lalu kita pecahkan bersama-sama.
5 “Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
Kata Ayub, 'Tak ada salah padaku, tetapi Allah tak mau memberi apa yang adil kepadaku.
6 Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
Aku dianggap berdusta, karena mengatakan aku tak berdosa. Kini aku luka parah, meskipun aku tak bersalah.'
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
Pernahkah kamu melihat orang seperti Ayub ini? Ia mencemooh Allah berkali-kali.
8 Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
Ia suka berkawan dengan orang-orang durhaka serta bergaul dengan orang-orang durjana.
9 Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
Ia berkata, bahwa sia-sia sajalah jika ia berusaha melakukan kehendak Allah.
10 “Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
Hai orang-orang yang bijak, dengarlah! Masakan Allah Yang Mahakuasa berbuat salah?
11 Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Ia mengganjar manusia setimpal perbuatannya, memperlakukan dia sesuai kelakuannya.
12 Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Allah Yang Mahakuasa tidak melakukan kejahatan; semua orang diberi-Nya keadilan.
13 Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
Dari siapakah Allah menerima kuasa-Nya? Siapakah mempercayakan bumi ini kepada-Nya?
14 Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
Seandainya Allah mencabut nyawa manusia, dan mengambil kembali napas hidupnya,
15 wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
maka matilah semua makhluk yang bernyawa, dan manusia menjadi debu seperti semula.
16 “Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
Nah, jika engkau arif, perhatikanlah, pasanglah telingamu dan dengarkanlah.
17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
Apakah Allah yang adil dan perkasa itu kaupersalahkan? Apakah pada sangkamu Allah membenci keadilan?
18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
Allah menghukum raja dan penguasa bila mereka jahat dan durhaka.
19 yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
Ia tidak memihak kepada para raja, atau mengutamakan orang kaya daripada orang papa. Karena mereka semua adalah ciptaan-Nya.
20 Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Di tengah malam, mereka dapat mati dengan tiba-tiba. Allah menghukum penguasa dan mereka pun binasa; dengan mudah dibunuh-Nya orang perkasa.
21 “Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
Ia mengawasi hidup manusia, dilihat-Nya segala langkahnya.
22 Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
Tak ada kegelapan, betapa pun pekatnya, yang dapat menyembunyikan orang berdosa.
23 Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Tidak perlu Allah menentukan saatnya, manusia datang untuk diadili oleh-Nya.
24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
Tanpa menyelidiki dan memeriksa Ia memecat penguasa dan mengangkat penggantinya.
25 Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
Sebab, Ia tahu apa yang mereka lakukan; maka Ia menggulingkan dan menghancurkan mereka di waktu malam.
26 Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
Mereka ditampar-Nya karena dosa mereka, di depan umum mereka dihukum-Nya.
27 kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
Sebab, mereka tidak mentaati kehendak-Nya dan tak mengindahkan segala perintah-Nya.
28 Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
Mereka menyebabkan orang miskin berkeluh kesah tangisan mereka didengar Allah.
29 Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
Apabila Allah memutuskan untuk diam saja, tak seorang pun akan berani mengecam-Nya. Apabila Ia menyembunyikan wajah-Nya, tak seorang pun dapat menemukan-Nya.
30 ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
Maka bangsa-bangsa tidak berdaya untuk mencegah penindasan jahat berkuasa.
31 “Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
Ayub, apakah dosamu kepada Allah telah kauakui? sudahkah kau berjanji tak akan berdosa lagi?
32 Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Sudahkah kauminta agar ditunjukkan-Nya kesalahanmu? Sudahkah kau bersumpah menghentikan perbuatan itu?
33 Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
Masakan Allah akan mengabulkan apa yang kauingini, setelah perbuatan Allah tidak kausetujui? Kini, engkau yang harus memutuskan, bukan aku. Katakanlah apa pendapatmu!
34 “Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
Semua orang arif pastilah akan menyetujuinya; orang bijak yang mendengar aku akan berkata
35 ‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
bahwa Ayub berbicara tanpa mengerti, dan bahwa perkataannya tidak mengandung arti.
36 Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
Jika kata-kata Ayub ditinjau dengan cermat, akan nyatalah bahwa bicaranya seperti orang jahat.
37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Kesalahannya ditambah lagi dengan sebuah dosa; ia memberontak terhadap Allah, dan menghina-Nya di hadapan kita.

< Ayubu 34 >