< Ayubu 34 >
Dilia da asigi dawa: su bagadedafa dunuse! Wali na sia: nebe amo nabima!
2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
Dilia da ha: i manu naba: lalu, amo ha: i manu da noga: iyale dawa: digisa. Be bagade dawa: su sia: amo dilia nabasea, hamedafa dawa: digisa.
4 Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
Be amo sia: da nini ninisu sia: sa: ili, ilegemu da defea.
5 “Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
Yoube hi da wadela: le hame hamoi amola ea hou da moloidafa sia: sa. Amola Gode da e da giadofale hame hamoi, amane hame sia: i, Yoube da amane egane sia: sa.
6 Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
Yoube da amane adole ba: sa, ‘Na da giadofai, ogogolewane abuli sia: ma: bela: ? Na da bogoma: ne fofa: gi dagoi, be na da wadela: le hame hamoi,’
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
Dilia dunu Yoube agoai ba: bela: ? E da Gode da Mimogo Baligili Bagadedafa Dunu hame dawa: sa.
8 Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
E da wadela: i hamosu dunuma gilisimu hanai, amola ili gilisili ahoana.
9 Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
E da Gode Ea hanai amoga fa: no bobogesu hou da dunu hame fidisa, amane sia: sa.
10 “Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
Dilia bagade dawa: su dunu! Gode Bagadedafa da giadofale hamoma: bela: ? Hame mabu!
11 Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
E da dunu ilia hamobe defele, ilima bidi iaha. Amola ilia hou hamoi defele, ilima hamosa.
12 Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Gode Bagadedafa da wadela: le hamomu hamedafa dawa: E da dunu huluane ilima moloidafa hou fawane hamosa.
13 Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
Gode da Ea gasa enoma labala? Dunu eno da Ema E da osobo bagade ouligima: ne ilegebela: ? Hame mabu!
14 Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
Gode da esalusu mifo amo bu samogei ganiaba,
15 wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
esalebe dunu huluanedafa da bogole, bu gulu dou hamona: noba.
16 “Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
Dilia da bagade dawa: su galea, na sia: be nabima!
17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
Dilia da Gode Moloidafa Ema diwaneya udidisala: ? E da moloidafa fofada: su higasa, dilia da dawa: sala: ?
18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
Hina bagade dunu amola ouligisu dunu da wadela: le hamosea, Gode da ilima se dabe ima: ne, fofada: sa.
19 yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
E da ouligisu dunumagale hame fofada: sa. Amola bagade gagui dunu da hame gagui dunuma fofada: sea, E da bagade gagui dunumagale hame fofada: sa. Bai E da dunu huluane defele hahamoi dagoi.
20 Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
Amabela: ? Ninia hedolowane gasia bogoma: bela: ? Gode da nini fabeba: le, ninia da bogosa. E da asabolewane, mimogo gasa bagade dunu medole legesa.
21 “Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
E da ninia osa: le gagabe huluane sosodolala.
22 Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
Gasidunasidafa da Gode mae ba: ma: ne, wadela: i dunu uligimu hamedei.
23 Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
Ninia huluane da Ema fofada: musa: doaga: mu. Be E da amo eso hame ilegesa.
24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
E da ouligisu dunu fadegale, eno dunu ilia sogebi lama: ne ilegesea, E da abodele hame ba: sa.
25 Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
Bai E da ilia hamobe huluane dawa: E da ili fadegale, amola gasia ili banenesisa.
26 Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
E da dunu huluane ba: ma: ne, wadela: le hamosu dunugili se dabe iaha.
27 kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
Bai ilia da Ema fa: no bobogebe hou yolesili, Ea hamoma: ne sia: i huluane higa: i.
28 Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
Ilia da hame gagui dunu banenesiba: le, hame gagui dunu da Godema ili fidima: ne wele sia: i. Amola Gode da ilia wele sia: i nabi dagoi.
29 Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
Gode da fidisu hame hamoma: ne ilegei ganiaba, dunu da Ema gagabuli sia: mu da hamedela: loba. E da Ea odagi ninia mae ba: ma: ne wamoaligisu hamoi ganiaba, nini da hahanini wadela: lesi dagoi ba: la: loba.
30 ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
Gode Ea hou hame lalegagui banenesisu dunu fawane da fifi asi gala amo ouligimu ga: la: loba, amola amo fifi asi gala dunu da amo hou afadenene hamedei ba: la: loba.
31 “Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
Yoube! Di da dia wadela: i hou amo Godema sisane fofada: bela: ? Di da Ema, dia da bu hamedafa wadela: le hou hamomu, ilegele sia: bela: ?
32 Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
Di da Godema E da dia giadofasu dima olelema: ne adole ba: bela: ? Dia wadela: le hamonanebe amo yolesima: ne, Ema sia: bela: ?
33 Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
Di da Gode Ea dima hamoma: ne sia: i amo higabeba: le, di abuliba: le E da dia hanai defele hamoma: beyale dawa: sala: ? Na da hame sia: mu. Di fawane sia: ma! Wali, dia asigi dawa: su ninima adoma!
34 “Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
Bagade dawa: su dunu, ilia da na sia: be defele amane dawa: mu,
35 ‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
‘Yoube e da hame dawa: beba: le, udigili hamedei sia: fawane sia: sa.’
36 Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
Yoube ea sia: i liligi huluane noga: le abodele dawa: ma. Amasea, e da wadela: i hou hamosu dunu defele sia: sa, dilia da ba: mu.
37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
E da ea wadela: i hamobe amoma odoga: su hou gilisisa. E da ninia midadi, Godema habosesesa.