< Ayubu 33 >

1 “Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
Assim, na verdade, ó Job, ouve as minhas razões, e dá ouvidos a todas as minhas palavras.
2 Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
Eis que já abri a minha boca: já falou a minha língua debaixo do meu paladar.
3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
As minhas razões sairão da sinceridade do meu coração, e a pura ciência dos meus lábios.
4 Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
O espírito de Deus me fez: e a inspiração do Todo-poderoso me deu vida.
5 Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
Se podes responde-me, põe por ordem diante de mim a tua causa, e levanta-te.
6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
Eis que sou de Deus, como tu: do lodo também eu fui cortado.
7 Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
Eis que não te perturbará o meu terror, nem será pesada sobre ti a minha mão.
8 “Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
Na verdade que disseste aos meus ouvidos; e eu ouvi a voz das palavras, dizendo:
9 ‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
Limpo estou, sem transgressão: puro sou; e não tenho culpa.
10 Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Eis que acha contra mim achaques, e me considerou como seu inimigo.
11 Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
Põe no tronco os meus pés, e observa todas as minhas veredas.
12 “Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Eis que nisto te respondo: Não foste justo; porque maior é Deus do que o homem.
13 Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
Por que razão contendeste com ele? porque não responde acerca de todos os seus feitos.
14 Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Antes Deus fala uma e duas vezes; porém ninguém atenta para isso.
15 Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
Em sonho ou em visão de noite, quando cai sono profundo sobre os homens, e adormecem na cama,
16 anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
Então o revela ao ouvido dos homens, e lhes sela a sua instrução.
17 ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
Para apartar o homem daquilo que faz, e esconder do homem a soberba.
18 kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Para desviar a sua alma da cova, e a sua vida de passar pela espada.
19 Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
Também na sua cama é com dores castigado; como também a multidão de seus ossos com fortes dores.
20 kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
De modo que a sua vida abomina até o pão, e a sua alma a comida apetecível.
21 Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
Desaparece a sua carne à vista de olhos, e os seus ossos, que se não viam, agora aparecem:
22 Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
E a sua alma se vai chegando à cova, e a sua vida ao que traz morte.
23 “Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Se com ele pois houver um mensageiro, um intérprete, um entre milhares, para declarar ao homem a sua retidão,
24 kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
Então terá misericórdia dele, e lhe dirá: Livra-o, que não desça à cova; já achei resgate.
25 ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
Sua carne se reverdecerá mais do que era na mocidade, e tornará aos dias da sua juventude.
26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
Deveras orará a Deus, o qual se agradará dele, e verá a sua face com júbilo, e restituirá ao homem a sua justiça.
27 Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Olhará para os homens, e dirá: Pequei, e perverti o direito, o que de nada me aproveitou.
28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
Porém Deus livrou a minha alma de que não passasse a cova; assim que a minha vida vê a luz.
29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
Eis que tudo isto obra Deus, duas e três vezes para com o homem;
30 ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
Para desviar a sua alma da perdição, e o alumiar com a luz dos viventes.
31 “Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
Escuta pois, ó Job, ouve-me: cala-te, e eu falarei.
32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
Se tens alguma coisa que dizer, responde-me: fala, porque desejo justificar-te.
33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
Se não, escuta-me tu: cala-te, e ensinar-te-ei a sabedoria.

< Ayubu 33 >