< Ayubu 33 >

1 “Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
En gewisselijk, o Job! hoor toch mijn redenen, en neem al mijn woorden ter ore.
2 Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
Zie nu, ik heb mijn mond opengedaan; mijn tong spreekt onder mijn gehemelte.
3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
Mijn redenen zullen de oprechtigheid mijns harten, en de wetenschap mijner lippen, wat zuiver is, uitspreken.
4 Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
De Geest Gods heeft mij gemaakt, en de adem des Almachtigen heeft mij levend gemaakt.
5 Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
Zo gij kunt, antwoord mij; schik u voor mijn aangezicht, stel u.
6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
Zie, ik ben Godes, gelijk gij; uit het leem ben ik ook afgesneden.
7 Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
Zie, mijn verschrikking zal u niet beroeren, en mijn hand zal over u niet zwaar zijn.
8 “Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
Zeker, gij hebt gezegd voor mijn oren, en ik heb de stem der woorden gehoord;
9 ‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
Ik ben rein, zonder overtreding; ik ben zuiver, en heb geen misdaad.
10 Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Zie, Hij vindt oorzaken tegen mij, Hij houdt mij voor Zijn vijand.
11 Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
Hij legt mijn voeten in den stok; Hij neemt al mijn paden waar.
12 “Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Zie, hierin zijt gij niet rechtvaardig, antwoord ik u; want God is meerder dan een mens.
13 Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
Waarom hebt gij tegen Hem getwist? Want Hij antwoordt niet van al Zijn daden.
14 Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Maar God spreekt eens of tweemaal; doch men let niet daarop.
15 Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
In den droom, door het gezicht des nachts, als een diepe slaap op de lieden valt, in de sluimering op het leger;
16 anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
Dan openbaart Hij het voor het oor der lieden, en Hij verzegelt hun kastijding;
17 ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
Opdat Hij den mens afwende van zijn werk, en van den man de hovaardij verberge;
18 kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
Dat Hij zijn ziel van het verderf afhoude; en zijn leven, dat het door het zwaard niet doorga.
19 Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
Ook wordt hij gestraft met smart op zijn leger, en de sterke menigte zijner beenderen;
20 kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
Zodat zijn leven het brood zelf verfoeit, en zijn ziel de begeerlijke spijze;
21 Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
Dat zijn vlees verdwijnt uit het gezicht, en zijn beenderen, die niet gezien werden, uitsteken;
22 Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
En zijn ziel nadert ten verderve, en zijn leven tot de dingen, die doden.
23 “Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Is er dan bij Hem een Gezant, een Uitlegger, een uit duizend, om den mens zijn rechten plicht te verkondigen;
24 kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
Zo zal Hij hem genadig zijn, en zeggen: Verlos hem, dat hij in het verderf niet nederdale, Ik heb verzoening gevonden.
25 ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
Zijn vlees zal frisser worden dan het was in de jeugd; hij zal tot de dagen zijner jonkheid wederkeren.
26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
Hij zal tot God ernstiglijk bidden, Die in hem een welbehagen nemen zal, en zijn aangezicht met gejuich aanzien; want Hij zal den mens zijn gerechtigheid wedergeven.
27 Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Hij zal de mensen aanschouwen, en zeggen: Ik heb gezondigd, en het recht verkeerd, hetwelk mij niet heeft gebaat;
28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
Maar God heeft mijn ziel verlost, dat zij niet voere in het verderf, zodat mijn leven het licht aanziet.
29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
Zie, dit alles werkt God twee- of driemaal met een man;
30 ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
Opdat hij zijn ziel afkere van het verderf, en hij verlicht worde met het licht der levenden.
31 “Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
Merk op, o Job! Hoor naar mij; zwijg, en ik zal spreken.
32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
Zo er redenen zijn, antwoord mij; spreek, want ik heb lust u te rechtvaardigen.
33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
Zo niet, hoor naar mij; zwijg, en ik zal u wijsheid leren.

< Ayubu 33 >