< Ayubu 33 >

1 “Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
Čuj dakle, Jobe, što ću ti kazati, prikloni uho mojim besjedama.
2 Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
Evo, usta sam svoja otvorio, a jezik riječi pod nepcem mi stvara.
3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
Iskreno će ti zborit' srce moje, usne će čistu izreći istinu.
4 Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
TÓa i mene je duh Božji stvorio, dah Svesilnoga oživio mene.
5 Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
Ako uzmogneš, ti me opovrgni; spremi se da se suprotstaviš meni!
6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
Gle, kao i ti, i ja sam pred Bogom, kao i ti, od gline bjeh načinjen;
7 Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
zato ja strahom tebe motrit' neću, ruka te moja neće pritisnuti.
8 “Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
Dakle, na moje uši rekao si - posve sam jasno tvoje čuo riječi:
9 ‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
'Nedužan sam i bez ikakva grijeha; prav sam i nema krivice na meni.
10 Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
Al' On izlike protiv mene traži i za svojeg me drži dušmanina.
11 Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
Noge je moje u klade metnuo, nad svakim mojim on pazi korakom.'
12 “Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
Ovdje, kažem ti, u pravu ti nisi, jer s Bogom čovjek mjerit' se ne može.
13 Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
Pa zašto s njime zamećeš prepirku što ti na svaku riječ ne odgovara?
14 Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
Bog zbori nama jednom i dva puta, al' čovjek na to pažnju ne obraća.
15 Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
U snovima, u viđenjima noćnim, kada san dubok ovlada ljudima i na ležaju dok tvrdo snivaju,
16 anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
tad on govori na uho čovjeku i utvarama plaši ga jezivim
17 ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
da ga od djela njegovih odvrati, da u čovjeku obori oholost,
18 kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
da dušu njegovu spasi od jame i život mu od puta u Podzemlje.
19 Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
Bolešću on ga kara na ležaju kad mu se kosti tresu bez prestanka,
20 kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
kad se kruh gadi njegovu životu i ponajbolje jelo duši njegovoj;
21 Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
kada mu tijelo gine naočigled i vide mu se kosti ogoljele,
22 Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
kad mu se duša približava jami a život njegov boravištu mrtvih.
23 “Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
Ako se uza nj nađe tad anđeo, posrednik jedan između tisuću, da čovjeka na dužnost opomene,
24 kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
pa se sažali nad njim i pomoli: 'Izbavi ga da u jamu ne ide; za život njegov nađoh otkupninu!
25 ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
Neka mu tijelo procvate mladošću, nek' se vrati u dane mladenačke!'
26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
Vapije k Bogu i Bog ga usliša: radosno On ga pogleda u lice; vrati čovjeku pravednost njegovu.
27 Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
Tada čovjek pred ljudima zapjeva: 'Griješio sam i pravo izvrtao, ali mi Bog zlom nije uzvratio.
28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
On mi je dušu spasio od jame i život mi se veseli svjetlosti.'
29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
Gle, sve to Bog je spreman učiniti do dva i do tri puta za čovjeka:
30 ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
da dušu njegovu spasi od jame i da mu život svjetlošću obasja.
31 “Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
Pazi dÓe, Jobe, dobro me poslušaj; šuti, jer nisam sve još izrekao.
32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
Ako riječi još imaš, odvrati mi, zbori - rado bih opravdao tebe.
33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
Ako li nemaš, poslušaj me samo: pazi, rad bih te poučit' mudrosti.”

< Ayubu 33 >