< Ayubu 32 >

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.
Job in nolna bei kahi tia apanchah kheh phat in aloi agolte thumho chun donbut be ding anom tapouve.
2 Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu.
Hichun Ram phunga Buz mi Barakel chapa Elihu chu ahung lunghang tai. Job in chonset kana bol nai chuleh Pathen in eigim bolna hi adih e ti ding anop lou jeh a lunghangah ahi.
3 Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu.
Job in anel nau adonbut thei uva Pathen joh chu dihmo dinga akilah jeh uva Job loile golte thum chunga jong kinga ahi.
4 Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye.
Elihun adangho Job koma thu asei diu chu anga nga jeng ahi. Ijeh inem itile amaho chu ama sanga upajo ahiuve.
5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
Ahinlah amahon adonbut be tahlou u amu phat in lunghang tah in ahung paodoh e.
6 Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema: “Mimi ni mdogo kwa umri, nanyi ni wazee; ndiyo sababu niliogopa, sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.
Buz mi Barakel chapa Elihun aseitai. Keima khangdong kahin nangho upa nahiuve. Hijeh a chu nangho komma kalunggel kasei ding chu kakhongai ahi.
7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Keigel in ateh jep hon thu seiju hen, ijeh inem itile upa ho a hi chihna hung ahi.
8 Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
Ahin mihem te sunga chu lhagao um ahi. Hatchungnungpa hu haikhuma amaho sunga um hiche chun achihsah u ahi.
9 Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Phatkhat tengle upa ho jong aching ji pouve. Khatvei vei teng thutan dihje ahe pouve.
10 “Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi; mimi nami nitawaambia lile ninalojua.
Hijeh chun kasei ngaijun chuleh kalunggel seipeh uvinge.
11 Nilingojea mlipokuwa mnaongea, nilizisikiliza hoja zenu; mlipokuwa mkitafuta maneno ya kusema,
Keiman nang thusei phat hitih chan sung hin kahin ngah in nakinel nahou lunglut tah in kahin ngaijin, khomulouva nathusei doh hou kangaije.
12 niliwasikiliza kwa makini. Lakini hakuna hata mmoja wenu aliyethibitisha kwamba Ayubu amekosa; hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kujibu hoja zake.
Nathusei hou kangaije, ahin khat chan jong nanel thei pouve. Ahiloule aminelna nadonbut thei pouve.
13 Msiseme, ‘Tumepata hekima; Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Amapa hi eiho dingin aching beh seh e, Pathen bouvin ama ajo ding ahi tin kakoma sei hih un.
14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Job chun keima einel hihen hileh nanghon namanchah u hettheina bangin donbut ponge.
15 “Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema; maneno yamewaishia.
Seibe ding helouva lunggimma tou nahiuve.
16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Tua nangho thipbeh a naum bang uva hi ken kanga nga nahlai dingu ham? Keijong thipbeh a kaum jing ding ham?
17 Mimi nami nitakuwa na la kusema; mimi nami nitasema lile nilijualo.
Ahipoi halkhat beh kaseija kalunggel kasei ding ahi.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;
Ijeh inem itile, kalung in adol joulou thu cheng tampi ho seidoh hi kasunga ka lhagaovin seidoh dingin eino tuntun e.
19 ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai, kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.
Keima ahom umlou jubom tobang kahin, jupohna thah pohkeh ding sa tobang kahi.
20 Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.
Kalung ol theina dinga kasei ding ahi. Hijeh chun ka donbutna penge.
21 Sitampendelea mtu yeyote, wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote;
Kadei tah in jong kichem ponge, ahiloule koimacha pachat lhem bol ponge.
22 kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza, Muumba wangu angeniondolea mbali kwa upesi.
Keiman joulhep ding kagot a ahile eisempan gangtah in eisumang jeng hen.

< Ayubu 32 >