< Ayubu 32 >

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.
Yoube da ea hou da moloidafa dafawaneyale dawa: beba: le, ea sama da ema bu adole ima: ne yolesi dagoi.
2 Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu.
Be dunu eno la: ididili esalu, ea dio amo Ilaihiu, da ougi ba: i amola amo bu gumimu hamedei ba: i. Bai Yoube da hina: hou gaga: le, Godema diwaneya udidilalu. (Ilaihiu da Ba: lagele ea mano amola Ba: lagele da Base egaga fi dunu. Ea sosogo fi da La: me.)
3 Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu.
E da Yoube ea sama udiana ilima amolawane ougi galu. Bai ilia da Youbema bu adole imunu logo hamedei ba: i. Amaiba: le, dunu eno ba: ma: ne, Gode Hi da giadofaiyale, eno dunu ilia da agoane dawa: i galu.
4 Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye.
Ilaihiu e fawane da goi ayeligi galu. Amaiba: le, e da ouesalu, eno dunu ilia da sia: i dagoiba: le fawane sia: i.
5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.
E da eno dunu udiana da Yoube ea adole ba: su amoga dabe hame adole iabeba: le, e da ougi ba: i.
6 Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema: “Mimi ni mdogo kwa umri, nanyi ni wazee; ndiyo sababu niliogopa, sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.
E da muni amane sia: i, “Na da ayeligi, be dilia da asigilai dunu. Amaiba: le, na da na asigiga dawa: i liligi dilima adomu beda: i galu.
7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
Na da nisu amane sia: i, asigilai dunu dilia fawane sia: mu da defea. Dilia bagade dawa: su amoga ninia huluane dawa: ma: ne adomu da defea galu.
8 Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu.
Be Gode Bagadedafa Ea A: silibu, Hi fawane da ninima misini, ninima asigi dawa: su bagade iaha.
9 Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.
Ninia da: i hamosea, bagade asigi dawa: su amola moloidafa hou dawa: i hame laha.
10 “Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi; mimi nami nitawaambia lile ninalojua.
Amaiba: le, na hanai da dilia na sia: nabimu! Na asigiga dawa: i amo na da dilima adomusa: , logo doasima.
11 Nilingojea mlipokuwa mnaongea, nilizisikiliza hoja zenu; mlipokuwa mkitafuta maneno ya kusema,
Dilia sia: nanoba, na da gebewane nabalu. Dilia da asigi dawa: su bagade sia: hogolalebeba: le, na da ouesalu.
12 niliwasikiliza kwa makini. Lakini hakuna hata mmoja wenu aliyethibitisha kwamba Ayubu amekosa; hakuna hata mmoja wenu aliyeweza kujibu hoja zake.
Na da ha: giwane sosodolalu, amola dilia dafabe ba: i. Dilia da Yoube ea sia: be da giadofaiyale, dilia didili hame hamoi.
13 Msiseme, ‘Tumepata hekima; Mungu na amthibitishe kuwa mwongo, wala si mwanadamu.’
Dilia abuliba: le, dilia da bagade dawa: su hou ba: i dagoi, amo sia: sala: ? Dilia da dafai dagoi. Amaiba: le, Gode Hi fawane da Youbema bu adole imunu gala.
14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.
Yoube da nama hame sia: i. E da dilima sia: su. Be na da dilia adole iabe defele, ema hame adole ia: noba.
15 “Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema; maneno yamewaishia.
Yoube! Ilia sia: da dafai dagoi. Ilia dima bu adole imunu gogolesa.
16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?
Ilia da wali sia: hamedene agoane udigili lela. Amaiba: le, na da ouiya: le bu ouesaloma: bela: ?
17 Mimi nami nitakuwa na la kusema; mimi nami nitasema lile nilijualo.
Hame mabu! Na da dima adole imunu. Na asigi dawa: su liligi, na da dima adomu.
18 Kwa kuwa nimejawa na maneno, nayo Roho iliyomo ndani yangu yanisukuma;
Na da sia: ma: ne ouesalumu hamedei. Na da na sia: negabe logo hedofamu hamedei ba: sa.
19 ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai, kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari kupasuka.
Na da sia: mu logo hame ba: sea, na da ohe gadofo amo da gaheabolo waini hano amoga nabai gala, amo defele fudagala: mu.
20 Ni lazima niseme ili niweze kutulia; ni lazima nifumbue midomo yangu nipate kujibu.
Hamedei! Na da bu ouiya: le esalumu da hamedeidafa.
21 Sitampendelea mtu yeyote, wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote;
Na da dunu afae amomagale hame sia: mu. Na da dunu afae amoma dabua hahayafuli hame sia: mu.
22 kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza, Muumba wangu angeniondolea mbali kwa upesi.
Na da osobo bagade dunuma hahayafuli sia: mu hamedei ba: sa. Amane hamoi ganiaba, Gode da hedolowane nama se dabe ia: noba.

< Ayubu 32 >