< Ayubu 31 >
1 “Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani.
J'avais fait un pacte avec mes yeux, disant: Je ne regarderai plus une vierge.
2 Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu, urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?
Car quelle est la part que d'en haut m'a réservée le Seigneur; quel héritage dois-je attendre du Tout-Puissant qui règne au plus haut des cieux?
3 Je, si uharibifu kwa watu waovu, maangamizi kwa wale watendao mabaya?
Malheur, perdition à l'injuste, expulsion pour celui qui fait le mal.
4 Je, yeye hazioni njia zangu na kuihesabu kila hatua yangu?
Le Seigneur ne me tiendra-t-il pas compte de mes voies, ni de la manière dont j'ai marché?
5 “Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Si j'avais été le compagnon des railleurs; si j'avais porté mes pas du côté de la fraude!
6 Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
Mais je me suis maintenu sous le joug de la justice, et le Seigneur connaît mon innocence.
7 kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
Si mon pied s'est écarté du droit chemin, si mon cœur a été égayé par mes yeux, si mes mains ont touché des présents,
8 basi wengine na wale nilichokipanda, nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.
Que d'autres consomment ce que j'ai semé, que sur la terre je devienne sans racines.
9 “Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,
Si mon cœur a convoité la femme d'autrui, si j'ai franchi ses portes,
10 basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine, nao wanaume wengine walale naye.
Que ma femme plaise à un autre homme; que mes enfants soient humiliés.
11 Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
Rien ne peut apaiser la colère de Dieu contre celui qui souille la femme de son prochain.
12 Ni moto uwakao kwa Uharibifu; ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.
Le feu s'attaquera à toute sa personne et dévorera tout ce qui sera issu de lui.
13 “Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
Si j'avais faussé le jugement que je rendais sur mon serviteur et ma servante, lorsqu'ils recouraient à ma justice,
14 nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
Que ferais-je quand à mon tour le Seigneur me jugera? Qu'aurais-je à lui répondre, s'il m'avait surpris en quelque faute?
15 Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu, si ndiye aliwaumba? Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote ndani ya mama zetu?
Ceux que j'avais à juger n'avaient-ils pas été comme moi, conçus en des entrailles? n'était-ce pas comme si les mêmes flancs nous avaient portés?
16 “Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,
Aussi les pauvres ont-ils toujours trouvé chez moi ce qui leur manquait; et je n'ai point fait verser de larmes à l'œil de la veuve.
17 kama nimekula chakula changu mwenyewe, bila kuwashirikisha yatima;
Si j'ai mangé seul ma bouchée, si je n'en ai point fait part à l'orphelin;
18 lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya, nami tangu kuzaliwa kwangu nimewaongoza wajane:
Si dès ma jeunesse, à peine sorti du ventre de ma mère, je n'ai eu de lui des soins paternels;
19 kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo, au mtu mhitaji asiye na mavazi
Si j'ai méprisé l'homme nu et abandonné; si je ne l'ai point vêtu;
20 ambaye wala moyo wake haukunibariki kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya ya kondoo zangu,
Si les indigents ne m'ont point béni; si leurs épaules n'ont pas été réchauffées par les toisons de mes agneaux;
21 na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima, nikijua kuwa nina ushawishi mahakamani,
Si j'ai levé la main sur le pupille; si je n'ai point multiplié mes secours avec confiance;
22 basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu, nao na uvunjike kutoka kiungio chake.
Que mon épaule se déboîte, que mon bras soit broyé au-dessous du coude.
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
En vérité la crainte du Seigneur m'a saisi; je ne puis supporter ce qu'il m'envoie.
24 “Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu, au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’
Si j'avais amoncelé de l'or, si j'avais estimé surtout les pierres précieuses;
25 kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu, ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,
Si j'avais mis ma joie en de grandes richesses; si ma main s'était posée sur des trésors innombrables;
26 kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
Je me serais dit: N'ai-je point vu le soleil dans tout son éclat s'éclipser, et la lune au ciel périr? Et rien n'est au-dessus d'eux.
27 hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
Et si mon cœur en secret s'est laissé séduire; et si j'ai baisé ma main en la portant à ma bouche,
28 basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.
Que ces fautes me soient gravement imputées; car alors j'ai menti au Seigneur Très-Haut.
29 “Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu, au kutazama kwa furaha taabu iliyomjia,
Et si je me suis réjoui de la chute de mes ennemis, et si dans mon âme j'ai dit: Bien!
30 lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi kwa kuomba laana dhidi ya maisha yake;
Puisse mon oreille ouïr la malédiction qui sera portée contre moi; puissé-je être signalé à tout le peuple comme un méchant.
31 kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’
Si je n'ai pas été bon pour mes servantes, si elles ont dit de moi: Qui nous permettra de nous rassasier de sa chair?
32 Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani, kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi kwa msafiri;
Si j'ai laissé l'étranger passer la nuit en plein air, et si ma porte ne s'est pas ouverte à tout venant.
33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Si ayant failli involontairement, j'ai caché mes péchés;
34 kwa sababu ya kuogopa umati wa watu, na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa, nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:
Retenu par la honte de les avouer devant la multitude; si j'ai souffert que le pauvre sortît de ma maison l'estomac vide;
35 (“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
Qui me donnera quelqu'un qui m'écoute? Si je n'ai point eu crainte de la main du Seigneur; le titre que j'avais contre autrui,
36 Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
Que j'avais lu les épaules ceintes d'une couronne,
37 Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
Si je ne l'ai point remis, après l'avoir déchiré, sans rien exiger du débiteur;
38 “Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
Si jamais la terre a gémi contre moi, si ses sillons ont pleuré tous ensemble,
39 kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
Si j'ai consommé ses fruits seul et sans les payer; si en les empruntant j'ai affligé l'âme de son possesseur,
40 basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.
Que les champs, au lieu de froment, ne produisent pour moi que des orties; et au lieu d'orge que des ronces. Et Job cessa de parler.