< Ayubu 31 >

1 “Nimefanya agano na macho yangu yasimtazame msichana kwa kumtamani.
Sa svojim očima savez sam sklopio da pogledat neću nijednu djevicu.
2 Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu, urithi wake kutoka kwa Mungu Mwenye Nguvu Aliye juu?
A što mi je Bog odozgo dosudio, kakva mi je baština od Svesilnoga?
3 Je, si uharibifu kwa watu waovu, maangamizi kwa wale watendao mabaya?
TÓa nije li nesreća za opakoga, a nevolja za one koji zlo čine?
4 Je, yeye hazioni njia zangu na kuihesabu kila hatua yangu?
Ne proniče li on sve moje putove, ne prebraja li on sve moje korake?
5 “Kama nimeishi katika uongo au mguu wangu umekimbilia udanganyifu,
Zar sam ikad u društvu laži hodio, zar mi je noga k prijevari hitjela?
6 Mungu na anipime katika mizani za uaminifu, naye atajua kwamba sina hatia:
Nek' me na ispravnoj mjeri Bog izmjeri pa će uvidjeti neporočnost moju!
7 kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia, kama moyo wangu umeongozwa na macho yangu, au kama mikono yangu imetiwa unajisi,
Ako mi je korak s puta kad zašao, ako mi se srce za okom povelo, ako mi je ljaga ruke okaljala,
8 basi wengine na wale nilichokipanda, nayo yale yote niliyootesha na yangʼolewe.
neka drugi jede što sam posijao, neka sve moje iskorijene izdanke!
9 “Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani yangu,
Ako mi zavede srce žena neka, ako za vratima svog bližnjeg kad vrebah,
10 basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine, nao wanaume wengine walale naye.
neka moja žena drugom mlin okreće, neka s drugim svoju podijeli postelju!
11 Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
Djelo bestidno time bih počinio, zločin kojem pravda treba da presudi,
12 Ni moto uwakao kwa Uharibifu; ungekuwa umengʼoa mavuno yangu.
užego vatru što žeže do Propasti i što bi svu moju sažgala ljetinu.
13 “Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu, walipokuwa na manungʼuniko dhidi yangu,
Ako kada prezreh pravo sluge svoga il' služavke, sa mnom kad su se parbili,
14 nitafanya nini Mungu atakaponikabili? Nitamjibu nini nitakapoitwa kutoa hesabu?
što ću učiniti kada Bog ustane? Što ću odvratit' kad račun zatraži?
15 Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu, si ndiye aliwaumba? Je, si ni yeye huyo mmoja aliyetuumba sote ndani ya mama zetu?
Zar nas oba on ne stvori u utrobi i jednako sazda u krilu majčinu?
16 “Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,
Ogluših li se na molbe siromaha ili rasplakah oči udovičine?
17 kama nimekula chakula changu mwenyewe, bila kuwashirikisha yatima;
Jesam li kada sam svoj jeo zalogaj a da ga nisam sa sirotom dijelio?
18 lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya, nami tangu kuzaliwa kwangu nimewaongoza wajane:
TÓa od mladosti k'o otac sam mu bio, vodio sam ga od krila materina!
19 kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo, au mtu mhitaji asiye na mavazi
Zar sam beskućnika vidio bez odjeće ili siromaha kog bez pokrivača
20 ambaye wala moyo wake haukunibariki kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya ya kondoo zangu,
a da mu bedra ne blagosloviše mene kad se runom mojih ovaca ogrija?
21 na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima, nikijua kuwa nina ushawishi mahakamani,
Ako sam ruku na nevina podigao znajuć' da mi je na vratima branitelj,
22 basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu, nao na uvunjike kutoka kiungio chake.
nek' se rame moje od pleća odvali i neka mi ruka od lakta otpadne!
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu, nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza kufanya mambo kama hayo.
Jer strahote Božje na mene bi pale, njegovu ne bih odolio veličanstvu.
24 “Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu, au kuiambia dhahabu safi, ‘Wewe ndiwe salama yangu,’
Zar sam u zlato pouzdanje stavio i rekao zlatu: 'Sigurnosti moja!'
25 kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu, ustawi ambao mikono yangu ilikuwa imepata,
Zar sam se veliku blagu radovao, bogatstvima koja su mi stekle ruke?
26 kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake au mwezi ukienda kwa fahari yake,
Zar se, gledajući sunce kako blista i kako mjesec sjajni nebom putuje,
27 hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri, au kubusu mkono wangu kwa kuviheshimu,
moje srce dalo potajno zavesti da bih rukom njima poljubac poslao?
28 basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa, kwa kuwa ningekuwa si mwaminifu kwa Mungu aishiye juu sana.
Grijeh bi to bio što za sudom vapije, jer Boga višnjega bih se odrekao.
29 “Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu, au kutazama kwa furaha taabu iliyomjia,
Zar se obradovah nevolji dušmana i likovah kad ga je zlo zadesilo,
30 lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi kwa kuomba laana dhidi ya maisha yake;
ja koji ne dadoh griješiti jeziku, proklinjući ga i želeći da umre?
31 kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’
Ne govorahu li ljudi mog šatora: 'TÓa koga nije on mesom nasitio'?
32 Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani, kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi kwa msafiri;
Nikad nije stranac vani noćivao, putniku sam svoja otvarao vrata.
33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,
Zar sam grijehe svoje ljudima tajio, zar sam u grudima skrivao krivicu
34 kwa sababu ya kuogopa umati wa watu, na hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na jamaa, nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango:
jer sam se plašio govorkanja mnoštva i strahovao od prezira plemenskog te sam mučao ne prelazeć' svoga praga?
35 (“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia! Tazama sasa ninatia sahihi kwenye utetezi wangu: Mwenyezi na anijibu; mshtaki wangu na aweke mashtaka yake kwenye maandishi.
O, kad bi koga bilo da mene sasluša! Posljednju sam svoju riječ ja izrekao: na Svesilnom je sad da mi odgovori! Nek' mi optužnicu napiše protivnik,
36 Hakika ningeyavaa begani mwangu, ningeyavaa kama taji.
i ja ću je nosit' na svome ramenu, čelo ću njome k'o krunom uresit'.
37 Ningempa hesabu ya kila hatua yangu, ningemwendea kama mwana wa mfalme.)
Dat ću mu račun o svojim koracima i poput kneza pred njega ću stupiti.”
38 “Kama nchi yangu inalia dhidi yangu, na mifereji yake yote imelowana kwa machozi,
Ako je na me zemlja moja vikala, ako su s njom brazde njezine plakale;
39 kama nimekula mazao yake bila malipo, au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
ako sam plodove jeo ne plativši i ako sam joj ojadio ratare,
40 basi miiba na iote badala ya ngano, na magugu badala ya shayiri.” Mwisho wa maneno ya Ayubu.
[40a] neka mjesto žita po njoj niče korov, a mjesto ječma nek' posvud kukolj raste! [40b] Konac riječi Jobovih.

< Ayubu 31 >