< Ayubu 30 >

1 “Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki, watu ambao baba zao ningekataa kwa dharau kuwaweka pamoja na mbwa wangu wa kulinda kondoo.
and now to laugh upon me little from me to/for day: old which to reject father their to/for to set: make with dog flock my
2 Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?
also strength hand their to/for what? to/for me upon them to perish vigor
3 Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa, walizurura usiku katika nchi kame iliyo ukiwa.
in/on/with poverty and in/on/with famine solitary [the] to gnaw dryness last night devastation and desolation
4 Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.
[the] to pluck mallow upon bush and root broom food their
5 Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi.
from midst to drive out: drive out to shout upon them like/as thief
6 Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka, kwenye majabali na mahandaki.
in/on/with dreadful torrent: river to/for to dwell hole dust and rock
7 Kwenye vichaka walilia kama punda, na walijisongasonga pamoja kwenye vichaka.
between bush to bray underneath: under nettle to attach
8 Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
son: type of foolish also son: child without name to whip from [the] land: country/planet
9 “Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
and now music their to be and to be to/for them to/for speech
10 Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.
to abhor me to remove from me and from face my not to withhold spittle
11 Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
for (cord my *Q(K)*) to open and to afflict me and bridle from face my to send: depart
12 Kuume kwangu kundi linashambulia; wao huitegea miguu yangu tanzi, na kunizingira.
upon right brood to arise: rise foot my to send: depart and to build upon me way calamity their
13 Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
to break path my to/for desire my to gain not to help to/for them
14 Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana; katikati ya magofu huja na kunishambulia.
like/as breach broad: wide to come underneath: stand devastation to roll
15 Vitisho vimenifunika; heshima yangu imetoweshwa kama kwa upepo, salama yangu imetoweka kama wingu.
to overturn upon me terror to pursue like/as spirit: breath honor my and like/as cloud to pass salvation my
16 “Sasa maisha yangu yamefikia mwisho; siku za mateso zimenikamata.
and now upon me to pour: pour soul my to grasp me day affliction
17 Usiku mifupa yangu inachoma; maumivu yanayonitafuna hayatulii kamwe.
night bone my to dig from upon me and to gnaw me not to lie down: sleep [emph?]
18 Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo; hushikamana nami kama ukosi wa vazi langu.
in/on/with many strength to search clothing my like/as lip: edge tunic my to gird me
19 Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.
to shoot me to/for clay and to liken like/as dust and ashes
20 “Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu; ninasimama, nawe unanitazama tu.
to cry to(wards) you and not to answer me to stand: stand and to understand in/on/with me
21 Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.
to overturn to/for cruel to/for me in/on/with strength hand: power your to hate me
22 Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo; umenirusha huku na huko kwenye dhoruba kali.
to lift: raise me to(wards) spirit: breath to ride me and to melt me (wisdom *Q(K)*)
23 Ninajua utanileta mpaka kifoni, mahali ambapo wenye uhai wote wamewekewa.
for to know death to return: return me and house: home meeting: time appointed to/for all alive
24 “Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
surely not in/on/with ruin to send: reach hand if: surely yes in/on/with disaster his to/for them cry
25 Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu? Je, nafsi yangu haikusononeka kwa ajili ya maskini?
if: surely no not to weep to/for severe day be grieved soul my to/for needy
26 Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia; nilipotafuta nuru, ndipo giza lilipokuja.
for good to await and to come (in): come bad: evil and to wait: hope to/for light and to come (in): come darkness
27 Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii; siku za mateso zinanikabili.
belly my to boil and not to silence: stationary to meet me day affliction
28 Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua; ninasimama katika kusanyiko nikiomba msaada.
be dark to go: walk in/on/with not heat to arise: establish in/on/with assembly to cry
29 Nimekuwa ndugu wa mbweha, rafiki wa mabundi.
brother: male-sibling to be to/for jackal and neighbor to/for daughter ostrich
30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika; mifupa yangu inaungua kwa homa.
skin my be black from upon me and bone my to scorch from drought
31 Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo, nayo filimbi yangu imekuwa sauti ya kilio.
and to be to/for mourning lyre my and pipe my to/for voice to weep

< Ayubu 30 >