< Ayubu 30 >

1 “Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki, watu ambao baba zao ningekataa kwa dharau kuwaweka pamoja na mbwa wangu wa kulinda kondoo.
Tedae a kum la kai lakah aka noe long khaw kai taengah luem uh coeng. Te rhoek kah a napa pataeng ka boiva kah ui taengah khueh ham ka hnawt lah mako.
2 Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?
Amih kut dongkah thadueng khaw kai taengah metlam a om? Amih te a hminkhah lamni a paltham.
3 Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa, walizurura usiku katika nchi kame iliyo ukiwa.
Vaitahnah neh khokha rhamling lamkah pumhong loh hlaem vaengah khohaeng neh imrhong kah rhamrhae te a cilh.
4 Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.
Tangpuem dongkah baekkoi te a hlaek uh tih a buh la hlingcet yung a khueh.
5 Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi.
A nam lamloh a haek uh tih amih taengah hlanghuen bangla a o uh.
6 Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka, kwenye majabali na mahandaki.
Soklong cakhom kah laipi neh thaelsawk khui ah kho a sak.
7 Kwenye vichaka walilia kama punda, na walijisongasonga pamoja kwenye vichaka.
Tangpuem khuiah pang uh tih lota hmuiah poem uh.
8 Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
Aka ang ca rhoek neh ming mueh ca rhoek ni khohmuen lamloh a hawt uh.
9 “Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Te dongah amih kah rhotoeng la ka om coeng tih amih taengah ol la ka om.
10 Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.
Kai aka tuei rhoek tah kai lamloh lakhla uh tih ka mikhmuh ah timtui khaw tuem uh pawh.
11 Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
A lirhui lakah ka lirhui he pawl coeng. Te dongah kai he m'phaep tih ka mikhmuh ah kamrhui han tueih uh.
12 Kuume kwangu kundi linashambulia; wao huitegea miguu yangu tanzi, na kunizingira.
Ka bantang kah hlangyoe loh tlai ka kho a kalh. Amih kah rhainah caehlong te kai taengah a picai uh.
13 Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
Ka talnah khuiah ka hawn a mak uh tih, amih aka bom pawt khaw hoeikhang uh.
14 Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana; katikati ya magofu huja na kunishambulia.
A puut aka len bangla ael uh tih a khohli rhamrhael hmuiah paluet uh.
15 Vitisho vimenifunika; heshima yangu imetoweshwa kama kwa upepo, salama yangu imetoweka kama wingu.
Kai soah mueirhih pai tih khohli bangla ka moeihoeihnah a hloem vaengah kai kah khangnah te khomai bangla a yah.
16 “Sasa maisha yangu yamefikia mwisho; siku za mateso zimenikamata.
Kai lamloh ka hinglu a kingling coeng tih phacip phabaem khohnin loh kai n'tuuk.
17 Usiku mifupa yangu inachoma; maumivu yanayonitafuna hayatulii kamwe.
Khoyin ah ka rhuh te ka pum dong lamloh a cueh. Kai aka thuek he a dim moenih.
18 Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo; hushikamana nami kama ukosi wa vazi langu.
Thadueng cungkuem dongah ka pueinak a phuelhthaih tih ka angkidung te rhawnmoep bangla ka vah.
19 Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.
Kai he dikpo khuila n'dong tih laipi neh hmaiphu bangla n'thuidoek.
20 “Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu; ninasimama, nawe unanitazama tu.
Na taengah bomnah kam bih dae kai nan doo moenih. Ka pai akhaw kai he nan yakming moenih.
21 Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.
Kai soah a muen la na poeh tih na ban thaa neh kai nan konaeh thil.
22 Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo; umenirusha huku na huko kwenye dhoruba kali.
Kai he khohli dongah nan phueih. Kai nan ngol thil vaengah kai nan paci sak tih lungming cueihnah a yawn.
23 Ninajua utanileta mpaka kifoni, mahali ambapo wenye uhai wote wamewekewa.
Mulhing boeih kah tingtunnah im la dueknah neh kai nan mael sak ham khaw ka ming.
24 “Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
A yoethaenah khuiah bombihnah a yaak vaengah kut aka thueng he lairhok dongah a om moenih.
25 Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu? Je, nafsi yangu haikusononeka kwa ajili ya maskini?
Khohnin a mangkhak dongah ka rhap tih khodaeng dongah ka hinglu a omdam moenih.
26 Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia; nilipotafuta nuru, ndipo giza lilipokuja.
A then ka lamtawn vaengah boethae ha pawk. Vangnah te ka ngaiuep vaengah a hmuep ha pai.
27 Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii; siku za mateso zinanikabili.
Ka bung he tlawk tih a kuemsuem moenih. Kai he phacip phabaem khohnin loh n'doe.
28 Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua; ninasimama katika kusanyiko nikiomba msaada.
Khomik a tal dongah maelhmai a hmuep la ka cet. Hlangping neh ka pai tih ka pang.
29 Nimekuwa ndugu wa mbweha, rafiki wa mabundi.
Pongui kah a manuca neh tuirhuk vanu kah a hui la ka om.
30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika; mifupa yangu inaungua kwa homa.
Ka vin khaw kamah dong lamloh mu tih ka rhuh khaw kholing neh tlum coeng.
31 Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo, nayo filimbi yangu imekuwa sauti ya kilio.
Ka rhotoeng te nguekcoinah la, ka phavi rhah ol la poeh.

< Ayubu 30 >