< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
ヨブはまた言葉をついで言った、
2 “Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
「ああ過ぎた年月のようであったらよいのだが、神がわたしを守ってくださった日のようであったらよいのだが。
3 wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
あの時には、彼のともしびがわたしの頭の上に輝き、彼の光によってわたしは暗やみを歩んだ。
4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
わたしの盛んな時のようであったならよいのだが。あの時には、神の親しみがわたしの天幕の上にあった。
5 wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
あの時には、全能者がなおわたしと共にいまし、わたしの子供たちもわたしの周囲にいた。
6 wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
あの時、わたしの足跡は乳で洗われ、岩もわたしのために油の流れを注ぎだした。
7 “Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
あの時には、わたしは町の門に出て行き、わたしの座を広場に設けた。
8 vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
若い者はわたしを見てしりぞき、老いた者は身をおこして立ち、
9 wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
君たる者も物言うことをやめて、その口に手を当て、
10 wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
尊い者も声をおさめて、その舌を上あごにつけた。
11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
耳に聞いた者はわたしを祝福された者となし、目に見た者はこれをあかしした。
12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
これは助けを求める貧しい者を救い、また、みなしごおよび助ける人のない者を救ったからである。
13 Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
今にも滅びようとした者の祝福がわたしに来た。わたしはまたやもめの心をして喜び歌わせた。
14 Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
わたしは正義を着、正義はわたしをおおった。わたしの公義は上着のごとく、また冠のようであった。
15 Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
わたしは目しいの目となり、足なえの足となり、
16 Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
貧しい者の父となり、知らない人の訴えの理由を調べてやった。
17 Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
わたしはまた悪しき者のきばを折り、その歯の間から獲物を引き出した。
18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
その時、わたしは言った、『わたしは自分の巣の中で死に、わたしの日は砂のように多くなるであろう。
19 Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
わたしの根は水のほとりにはびこり、露は夜もすがらわたしの枝におくであろう。
20 Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
わたしの栄えはわたしと共に新しく、わたしの弓はわたしの手にいつも強い』と。
21 “Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
人々はわたしに聞いて待ち、黙して、わたしの教に従った。
22 Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
わたしが言った後は彼らは再び言わなかった。わたしの言葉は彼らの上に雨のように降りそそいだ。
23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
彼らは雨を待つように、わたしを待ち望み、春の雨を仰ぐように口を開いて仰いだ。
24 Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
彼らが希望を失った時にも、わたしは彼らにむかってほほえんだ。彼らはわたしの顔の光を除くことができなかった。
25 Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
わたしは彼らのために道を選び、そのかしらとして座し、軍中の王のようにしており、嘆く者を慰める人のようであった。

< Ayubu 29 >