< Ayubu 29 >

1 Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
Og Job vedblev at fremsætte sit Tankesprog:
2 “Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
Ak, havde jeg det som tilforn, som dengang Gud tog sig af mig,
3 wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
da hans Lampe lyste over mit Hoved, og jeg ved hans Lys vandt frem i Mørke,
4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
som i mine modne År, da Guds Fortrolighed var over mit Telt,
5 wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
da den Almægtige end var hos mig og mine Drenge var om mig,
6 wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
da mine Fødder vaded i Fløde, og Olie strømmede, hvor jeg stod,
7 “Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
da jeg gik ud til Byens Port og rejste mit Sæde på Torvet.
8 vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
Når Ungdommen så mig, gemte deo sig, Oldinge rejste sig op og stod,
9 wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
Høvdinger standsed i Talen og lagde Hånd på Mund,
10 wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
Stormænds Røst forstummed, deres Tunge klæbed til Ganen;
11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
Øret hørte og priste mig lykkelig, Øjet så og tilkendte mig Ære.
12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
Thi jeg redded den arme, der skreg om Hjælp, den faderløse, der savned en Hjælper;
13 Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
den, det gik skævt, velsignede mig, jeg frydede Enkens Hjerte;
14 Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
jeg klædte mig i Retfærd, og den i mig, i Ret som Kappe og Hovedbind.
15 Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
Jeg var den blindes Øje, jeg var den lammes Fod;
16 Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
jeg var de fattiges Fader, udreded den mig ukendtes Sag;
17 Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
den lovløses Tænder brød jeg, rev Byttet ud af hans Gab.
18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
Så tænkte jeg da: "Jeg skal dø i min Rede, leve så længe som Føniksfuglen;
19 Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
min Rod kan Vand komme til, Duggen har Nattely i mine Grene;
20 Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
min Ære er altid ny, min Bue er altid ung i min Hånd!"
21 “Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
Mig hørte de på og bied, var tavse, mens jeg gav Råd;
22 Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
ingen tog Ordet, når jeg havde talt, mine Ord faldt kvægende på dem;
23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
de bied på mig som på Regn, spærred Munden op efter Vårregn.
24 Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
Mistrøstige smilte jeg til, mit Åsyns Lys fik de ej til at svinde.
25 Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Vejen valgte jeg for dem og sad som Høvding, troned som Konge blandt Hærmænd, som den, der gav sørgende Trøst.

< Ayubu 29 >