< Ayubu 29 >
1 Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
Ještě dále Job vedl řeč svou, a řekl:
2 “Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
Ó bych byl jako za časů předešlých, za dnů, v nichž mne Bůh zachovával,
3 wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
Dokudž svítil svící svou nad hlavou mou, při jehož světle chodíval jsem v temnostech,
4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
Tak jako jsem byl za dnů mladosti své, dokudž přívětivost Boží byla v stanu mém,
5 wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
Dokudž ještě Všemohoucí byl se mnou, a všudy vůkol mne dítky mé,
6 wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
Když šlepěje mé máslem oplývaly, a skála vylévala mi prameny oleje,
7 “Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
Když jsem vycházel k bráně skrze město, a na ulici strojíval sobě stolici svou.
8 vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
Jakž mne spatřovali mládenci, skrývali se, starci pak povstávali a stáli.
9 wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
Knížata choulili se v řečech, anobrž ruku kladli na ústa svá.
10 wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
Hlas vývod se tratil, a jazyk jejich lnul k dásním jejich.
11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
Nebo ucho slyše, blahoslavilo mne, a oko vida, posvědčovalo mi,
12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
Že vysvobozuji chudého volajícího, a sirotka, i toho, kterýž nemá spomocníka.
13 Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
Požehnání hynoucího přicházelo na mne, a srdce vdovy k plésání jsem vzbuzoval.
14 Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
V spravedlnost jsem se obláčel, a ona ozdobovala mne; jako plášť a koruna byl soud můj.
15 Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
Místo očí býval jsem slepému, a místo noh kulhavému.
16 Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
Byl jsem otcem nuzných, a na při, jíž jsem nebyl povědom, vyptával jsem se.
17 Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
A tak vylamoval jsem třenovní zuby nešlechetníka, a z zubů jeho vyrážel jsem loupež.
18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
A protož jsem říkal: V hnízdě svém umru, a jako písek rozmnožím dny.
19 Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
Kořen můj rozloží se při vodách, a rosa nocovati bude na ratolestech mých.
20 Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
Sláva má mladnouti bude při mně, a lučiště mé v ruce mé obnovovati se.
21 “Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
Poslouchajíce, čekali na mne, a přestávali na radě mé.
22 Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
Po slovu mém nic neměnili, tak na ně dštila řeč má.
23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
Nebo očekávali mne jako deště, a ústa svá otvírali jako k přívalu žádostivému.
24 Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
Žertoval-li jsem s nimi, nevěřili; pročež u vážnosti mne míti neoblevovali.
25 Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Přišel-li jsem kdy k nim, sedal jsem na předním místě, a tak bydlil jsem jako král v vojště, když smutných potěšuje.