< Ayubu 28 >
1 “Kuna machimbo ya fedha, na mahali dhahabu isafishwapo.
"Hopeallakin on suonensa ja löytöpaikkansa kullalla, joka puhdistetaan;
2 Chuma hupatikana ardhini, nayo shaba huyeyushwa kutoka mawe ya madini.
rauta otetaan maasta, ja kivestä sulatetaan vaski.
3 Mwanadamu hukomesha giza; huyatafuta hadi sehemu iliyo mbali, kwa ajili ya kuchimbua mawe yenye madini katika giza jeusi sana.
Tehdään loppu pimeydestä, ja tutkitaan tyystin kivi, jonka synkkä pilkkopimeä peittää.
4 Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu, mahali paliposahaulika na nyayo za wanadamu; mbali na wanadamu huningʼinia na kupembea kwa kamba.
Kaivos louhitaan syvälle maan asujain alle; unhotettuina he riippuvat siellä ilman jalan tukea, heiluvat kaukana ihmisten ilmoilta.
5 Ardhi, ambako chakula hutoka, chini hugeuzwa kwa moto;
Maasta kasvaa leipä, mutta maan uumenet mullistetaan kuin tulen voimalla.
6 yakuti samawi hutoka katika miamba yake, nalo vumbi lake lina vipande vya dhahabu.
Sen kivissä on safiirilla sijansa, siellä on kultahiekkaa.
7 Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.
Polkua sinne ei tiedä kotka, eikä haukan silmä sitä havaitse.
8 Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga, wala simba azungukaye huko.
Sitä eivät astu ylväät eläimet, ei leijona sitä kulje.
9 Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.
Siellä käydään käsiksi kovaan kiveen, ja vuoret mullistetaan juuriaan myöten.
10 Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.
Kallioihin murretaan käytäviä, ja silmä näkee kaikkinaiset kalleudet.
11 Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.
Vesisuonet estetään tihkumasta, ja salatut saatetaan päivänvaloon.
12 “Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? Ufahamu unakaa wapi?
Mutta viisaus-mistä se löytyy, ja missä on ymmärryksen asuinpaikka?
13 Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.
Ei tunne ihminen sille vertaa, eikä sitä löydy elävien maasta.
14 Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’; bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’
Syvyys sanoo: 'Ei ole se minussa', ja meri sanoo: 'Ei se ole minunkaan tykönäni'.
15 Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote, wala thamani yake haiwezi kupimwa kwa fedha.
Sitä ei voida ostaa puhtaalla kullalla, eikä sen hintaa punnita hopeassa.
16 Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri, kwa shohamu ya thamani kubwa au yakuti samawi ya thamani kubwa.
Ei korvaa sitä Oofirin kulta, ei kallis onyks-kivi eikä safiiri.
17 Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi hubadilishwa na vito vya dhahabu.
Ei vedä sille vertoja kulta eikä lasi, eivät riitä sen vaihtohinnaksi aitokultaiset kalut.
18 Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.
Koralleja ja kristalleja ei sen rinnalla mainita, ja viisauden omistaminen on helmiä kalliimpi.
19 Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi.
Ei vedä sille vertoja Etiopian topaasi, ei korvaa sitä puhdas kulta.
20 “Ni wapi basi hekima itokako? Ufahamu hukaa wapi?
Mistä siis tulee viisaus ja missä on ymmärryksen asuinpaikka?
21 Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
Se on peitetty kaiken elävän silmiltä, salattu taivaan linnuiltakin.
22 Uharibifu na Mauti husema, ‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’
Manala ja kuolema sanovat: 'Korvamme ovat kuulleet siitä vain kerrottavan'.
23 Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima na ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,
Jumala tietää tien sen luokse, hän tuntee sen asuinpaikan.
24 kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia na huona kila kitu chini ya mbingu.
Sillä hän katsoo maan ääriin saakka, hän näkee kaiken, mitä taivaan alla on.
25 Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
Kun hän antoi tuulelle voiman ja määräsi mitalla vedet,
26 alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
kun hän sääti lain sateelle ja ukkospilvelle tien,
27 ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
silloin hän sen näki ja ilmoitti, toi sen esille ja sen myös tutki.
28 Naye Mungu akamwambia mwanadamu, ‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima, nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’”
Ja ihmiselle hän sanoi: 'Katso, Herran pelko-se on viisautta, ja pahan karttaminen on ymmärrystä'."