< Ayubu 28 >

1 “Kuna machimbo ya fedha, na mahali dhahabu isafishwapo.
Máť zajisté stříbro prameny své, a zlato místo k přehánění.
2 Chuma hupatikana ardhini, nayo shaba huyeyushwa kutoka mawe ya madini.
Železo z země vzato bývá, a kámen rozpuštěný dává měď.
3 Mwanadamu hukomesha giza; huyatafuta hadi sehemu iliyo mbali, kwa ajili ya kuchimbua mawe yenye madini katika giza jeusi sana.
Cíl ukládá temnostem, a všelikou dokonalost člověk vystihá, kámen mrákoty a stínu smrti.
4 Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu, mahali paliposahaulika na nyayo za wanadamu; mbali na wanadamu huningʼinia na kupembea kwa kamba.
Protrhuje se řeka na obyvatele, tak že ji nemůže žádný přebřesti, a svozována bývá uměním smrtelného člověka, i odchází.
5 Ardhi, ambako chakula hutoka, chini hugeuzwa kwa moto;
Z země vychází chléb, ačkoli pod ní jest něco rozdílného, podobného k ohni.
6 yakuti samawi hutoka katika miamba yake, nalo vumbi lake lina vipande vya dhahabu.
V některé zemi jest kamení zafirové a prach zlatý,
7 Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika, wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.
K čemuž stezky nezná žádný pták, aniž ji spatřilo oko luňáka,
8 Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga, wala simba azungukaye huko.
Kteréž nešlapala mladá zvěř, aniž šel po ní lev.
9 Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.
K škřemeni vztahuje ruku svou, a z kořene převrací hory.
10 Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.
Z skálí vyvodí potůčky, a všecko, což jest drahého, spatřuje oko jeho.
11 Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.
Vylévati se řekám zbraňuje, a tak cožkoli skrytého jest, na světlo vynáší.
12 “Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? Ufahamu unakaa wapi?
Ale moudrost kde nalezena bývá? A kde jest místo rozumnosti?
13 Mwanadamu hatambui thamani yake; haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.
Neví smrtelný člověk ceny její, aniž bývá nalezena v zemi živých.
14 Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’; bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’
Propast praví: Není ve mně, moře také dí: Není u mne.
15 Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote, wala thamani yake haiwezi kupimwa kwa fedha.
Nedává se zlata čistého za ni, aniž odváženo bývá stříbro za směnu její.
16 Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri, kwa shohamu ya thamani kubwa au yakuti samawi ya thamani kubwa.
Nemůže býti ceněna za zlato z Ofir, ani za onychin drahý a zafir.
17 Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi hubadilishwa na vito vya dhahabu.
Nevrovná se jí zlato ani drahý kámen, aniž směněna býti může za nádobu z ryzího zlata.
18 Marijani na yaspi hazistahili kutajwa; thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.
Korálů pak a perel se nepřipomíná; nebo nabytí moudrosti dražší jest nad klénoty.
19 Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi.
Není jí rovný v ceně smaragd z Mouřenínské země, aniž za čisté zlato může ceněna býti.
20 “Ni wapi basi hekima itokako? Ufahamu hukaa wapi?
Odkudž tedy moudrost přichází? A kde jest místo rozumnosti?
21 Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
Poněvadž skryta jest před očima všelikého živého, i před nebeským ptactvem ukryta jest.
22 Uharibifu na Mauti husema, ‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’
Zahynutí i smrt praví: Ušima svýma slyšely jsme pověst o ní.
23 Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima na ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,
Sám Bůh rozumí cestě její, a on ví místo její.
24 kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia na huona kila kitu chini ya mbingu.
Nebo on končiny země spatřuje, a všecko, což jest pod nebem, vidí,
25 Alipofanyiza nguvu za upepo na kuyapima maji,
Tak že větru váhu dává, a vody v míru odvažuje.
26 alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua na njia kwa ajili ya umeme wa radi,
On též vyměřuje dešti právo, i cestu blýskání hromů.
27 ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake, akaithibitisha na kuihakikisha.
Hned tehdáž viděl ji, a rozhlásil ji, připravil ji, a vystihl ji.
28 Naye Mungu akamwambia mwanadamu, ‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima, nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’”
Člověku pak řekl: Aj, bázeň Páně jest moudrost, a odstoupiti od zlého rozumnost.

< Ayubu 28 >