< Ayubu 27 >

1 Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
Job ni a dei e hah bout a patawp teh,
2 “Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
Cathut ni ka lannae, na la pouh teh, Athakasaipounge, ka hringnae ka pataw sak e teh a hring e patetlah,
3 kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu, nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,
Ka thung e a thakaawm sak e Cathut e kâha teh ka hnong dawk ao thung pueng teh,
4 midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
Ka pahni ni kathoute lawk dei mahoeh. Ka lai ni dumnae tâcawtsak mahoeh.
5 Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi; hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
Na lan awh tie hah ka dei hane savisava doeh. Ka due totouh ka lannae heh khoeroe ka pahnawt mahoeh.
6 Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha; dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.
Ka lannae heh kacakcalah ka kuet teh, kahmat sak mahoeh. Ka hring thung pueng ka lungthin ni kama yon na pen mahoeh.
7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!
Ka taran hah tamikathout patetlah awm awh naseh. Kai na taranlahoi ka kangdout e hah tami kalan hoeh lah awm awh naseh.
8 Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
Bangkongtetpawiteh, tami kahawihoehe naw ngaihawinae teh, banghai nahoeh. Moi ka tawn nakunghai Cathut ni a hringnae lat pawiteh,
9 Je, Mungu husikiliza kilio chake, shida zimjiapo?
a lathueng vah runae a pha torei teh, a cingounae hah Cathut ni a thai pouh han maw.
10 Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi? Je, atamwita Mungu nyakati zote?
Athakasaipounge, lah amahoima a lunghawi han namaw, Cathut hah pou a kaw han namaw.
11 “Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu; njia za Mwenyezi sitazificha.
Cathut e kut hoi a sak e hah na dei pouh vai. Athakasaipounge, koevah kaawm e hah ka hrawk mahoeh.
12 Ninyi nyote mmeona hili wenyewe. Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?
Hot teh abuemlah ni na hmu katang awh. Hottelah pawiteh, bangkongmaw bang hoeh e dawk pou na panui awh.
13 “Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu, urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi:
Hetteh, Cathut koehoi tamikathoutnaw coe hanelah ao. Tami kahnephnapnaw e a coe e raw. Athakasaipounge, koehoi a hmu awh e teh,
14 Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani, fungu lao ni kuuawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa kamwe na chakula cha kuwatosha.
a catounnaw a kamphung nakunghai tahloi hanelah doeh ao. A canaw ni vonhlam hoi kho a sak awh han.
15 Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Kaawm rae naw teh, duenae dawk pakawp la ao awh han. Lahmainaw ni khuikapkhai mahoeh.
16 Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi, na mavazi kama malundo ya udongo wa mfinyanzi,
Vaiphu patetlah ngunnaw ka pâtung nakunghai, tangdong patetlah hnopai ka pâtung nakunghai,
17 yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa, naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake.
a pâtung thai han. Hateiteh, tamikalan ni a khohna han, kayonhoehnaw ni ahnie ngun hah a kârei awh han.
18 Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Bomba patetlah im a sak teh, ramveng ni rim a sak e patetlah doeh ao.
19 Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho; afunguapo macho yake, yote yametoweka.
Tami ka tawn poung ni a due torei teh, pakawp e lah awm mahoeh. A mit a padai nah teh koung a kahma toe.
20 Vitisho humjia kama mafuriko; dhoruba humkumba ghafula usiku.
Takithopoung e ni ahni teh tuikalen patetlah a la. Karum lah tûilî ni a kahma sak.
21 Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka; humzoa kutoka mahali pake.
Kanîtholah kahlî ni a palek teh awmhoeh toe. A onae hmuen koehoi a palek.
22 Humvurumisha bila huruma, huku akikimbia kasi kukwepa nguvu zake.
Pek e awm laipalah ama khuehoi a palek. A thasainae thung hoi koung a kahma han.
23 Upepo humpigia makofi kwa dharau, na kumfukuza atoke mahali pake.
Taminaw ni a kuttabawng sin han. Terawseh tet awh vaiteh aonae koehoi a pâlei awh han.

< Ayubu 27 >