< Ayubu 27 >
1 Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
Yoube da amane sia: i,
2 “Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
Na da Esalebe Gode Bagadedafa amo Ea Dioba: le amane ilegele sia: sa. (be E da nama molole hame fofada: sa amola na se nabima: ne hamosa.)
3 kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu, nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu,
4 midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
‘Gode da nama mifo gebewane ianea, na lafi da wadela: i sia: hame sia: mu, amola na gona: su da ogogole hame sia: mu.
5 Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi; hadi nife, sitakana uadilifu wangu.
Dilia da moloidafa sia: i, amo na da hamedafa sia: mu. Amola na da wadela: le hame hamoi sia: neawane, na bogomu eso da doaga: mu.
6 Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha; dhamiri yangu haitanisuta muda wote ninaoishi.
Na hou da moloidafa. Amo dawa: su na da hamedafa yolesimu. Na asigi dawa: su da fofada: i dagoi.
7 “Watesi wangu wawe kama waovu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!
Dunu huluane amo da nama diwaneya udidisa, amola nama gegesa. Ilia da moloi hame dunu amola wadela: i hamosu dunu ilia se dabe iasu defele lamu da defea.
8 Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
Gode Ea hou hame lalegagui dunu da Ema fofada: musa: doaga: sea, ilia da hahawane dafawane hamoma: beyale dawa: su hamedafa ba: mu.
9 Je, Mungu husikiliza kilio chake, shida zimjiapo?
Bidi hamosu da ilima doaga: sea, Gode da ilia dini iabe nabima: bela: ? Hame mabu!
10 Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi? Je, atamwita Mungu nyakati zote?
Ilia da hahawane hou, Gode da ilima imunusa: dawa: i, amo hanamu da defea galu. Ilia da Ema mae fisili sia: ne gadolalumu da defea galu.
11 “Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu; njia za Mwenyezi sitazificha.
Na da dilima Gode Ea gasa bagade hou amola Gode Bagadedafa Ea ilegesu amo dilima olelema: ne, dilia logo doasima.
12 Ninyi nyote mmeona hili wenyewe. Ni ya nini basi mazungumzo haya yasiyo na maana?
Be hame! Dilisu da amo hou huluane ba: i dagoise! Amaiba: le, dilia abuliba: le amo hamedei udigili sia: dabela: ?” Soufa da amane sia: i,
13 “Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu, urithi ule mtu mdhalimu anapokea kutoka kwa Mwenyezi:
“Gode Bagadedafa da wadela: i nimi bagade dunuma amane se dabe iaha.
14 Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani, fungu lao ni kuuawa kwa upanga; wazao wake hawatakuwa kamwe na chakula cha kuwatosha.
Ilia dunu mano bagohame lalelegesa. Be huluane gegesu ganodini medole legei ba: mu. Ilia mano da ha: i manu defele hamedafa ba: mu.
15 Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Mogili hame bogoi esala, ilia da olo madelale bogogia: mu. Amola ilia didalo da ili bogobe amoga hame didigia: mu.
16 Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi, na mavazi kama malundo ya udongo wa mfinyanzi,
Amabela: ? Wadela: i hou hamosu dunu da silifa fage idimu hamedei gagumu. Amola abula liligi ilia lamusa: hanai baligili gagumu.
17 yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa, naye asiye na hatia ataigawanya fedha yake.
Be molole hamosu dunu da ilia abula lale ga: sisimu. Amola noga: idafa dunu da ilia silifa fage ladimu.
18 Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Wadela: i hamosu dunu ilia da ogome diasu agoai o udigili hawa: hamosu dunu da sagai sosodo aligisa, amo ea diasu agoai gagusa.
19 Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho; afunguapo macho yake, yote yametoweka.
Ilia da bagade gaguiwane dialumu. Be eso afaega ilia da nedigili wa: legadosea, ilia bagade gagui liligi da asi dagoi ba: mu.
20 Vitisho humjia kama mafuriko; dhoruba humkumba ghafula usiku.
Hano hedolo fili gala: be defele, beda: su hou da ili famu. Gasia fo da misini, ili mini asi hame ba: mu.
21 Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka; humzoa kutoka mahali pake.
Gusudili fo da ilia diasudili ili huluane fadegale, ili mini asi ba: mu.
22 Humvurumisha bila huruma, huku akikimbia kasi kukwepa nguvu zake.
Ilia da hobeamu logo hogoi helele hame ba: mu. Be amo fo da ilima mae asigili, ili fulabole fasili, hamedafa ba: mu.
23 Upepo humpigia makofi kwa dharau, na kumfukuza atoke mahali pake.
Ilia da hobeale ahoasea, gusudili mabe fo da ilima gulaligisa. Fo da gugunufinisimusa: gasa bagadeba: le, ilia da bagadedafa beda: sa.