< Ayubu 26 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Yobo azongisaki:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
« Ah! Tala ndenge osungi moto oyo azangi makasi, ndenge osungi loboko oyo elembi!
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Tala toli oyo opesi na moto azangi bwanya, mpe tala ebele na mayele oyo olakisi!
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Ozwi maloba oyo wapi? Molimo oyo elobi na monoko na yo ezali ya nani?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Bakufi balengaka na se ya mayi mpe ya bikelamu oyo ezalaka kuna.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Liboso ya Nzambe, mboka ya bakufi ezali bolumbu, mpe libulu ya molili ezali polele. (Sheol h7585)
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Atandaka likolo na esika oyo ezali na eloko moko te, atelemisaka mabele na likolo ya eloko moko te,
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
akangaka mayi kati na mapata, kasi mapata epasukaka te;
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
azipaka kiti ya bokonzi na Ye, atandaka mapata na likolo na yango;
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
akataka mondelo na likolo ya mayi, na suka ya pole mpe na molili.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Makonzi ya Lola ezali kolenga mpe ezali kokamwa na pamela na Ye.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Na nguya na Ye, apasoli ebale monene; mpe na mayele na Ye, abuki-buki Rakabe na biteni.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Na pema na Ye, Likolo ekomaka kitoko, loboko na Ye etobolaka nyoka oyo ekimaka.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Soki makambo wana ezali kaka ndambo moke ya misala na Ye mpe mongongo na Ye ya se oyo toyokaka, nani akoki kososola bakake ya nguya na Ye? »

< Ayubu 26 >