< Ayubu 26 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Un Ījabs atbildēja un sacīja:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
Kā tu nu palīdzējis nestipram un stiprinājis nespēcīgo elkoni!
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Kā tu nu padomu devis negudram un saprašanu izrādījis ļoti skaidri!
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Kam tu teic šos vārdus, un kā dvaša no tevis iziet?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Miroņi sāk trīcēt apakš ūdeņiem, un tie, kas tur mīt.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Elle Viņa priekšā ir atvērta, un nāves bezdibenim nav apsega. (Sheol h7585)
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Viņš zvaigžņu debesi gaisā izpletis un zemi piekāris, kur nekas.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Viņš saņem ūdeni Savos mākoņos, un padebeši apakš Viņa nesaplīst.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Viņš aizklāj Savu goda krēslu, Viņš izpleš tam priekšā Savu padebesi.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Viņš ap ūdeņiem licis ežu, līdz kur gaisma un tumsa šķirās.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Debess pīlāri trīc un iztrūcinājās no Viņa draudiem.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Caur Viņa spēku jūra saceļas viļņos, un caur Viņa ziņu augstie viļņi tiek sašķelti.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Caur Viņa vēju debess paliek skaidra, un Viņa roka nodur žiglo čūsku.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Redzi, tā ir Viņa ceļu maliņa, un kāda lēna balss tikai, ko samanām; kas Viņa varas pērkoni varētu dzirdēt?

< Ayubu 26 >