< Ayubu 26 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Tetapi Ayub berkata, "Alangkah mahirnya kauberi pertolongan kepadaku orang yang lemah dan kepayahan!
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Alangkah baiknya nasihat dan ajaran itu yang telah kauberikan kepadaku, orang yang dungu!
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Kepada siapakah tuturmu itu tertuju? Siapa mengilhamimu untuk bicara seperti itu?"
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Jawab Bildad, "Orang-orang di alam maut gemetar; air dan penghuninya bergeletar.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Di hadapan Allah, dunia orang mati terbuka, tak bertutup sehingga kelihatan oleh-Nya. (Sheol h7585)
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Allah membentangkan langit, di atas samudra, dan menggantungkan bumi pada ruang hampa.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Dimuati-Nya awan dengan air berlimpah-limpah, namun awan itu tidak robek karena beratnya.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Disembunyikan-Nya wajah bulan purnama di balik awan yang telah dibentangkan-Nya.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Digambar-Nya lingkaran pada muka lautan untuk memisahkan terang dari kegelapan.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Bila Ia menghardik dengan suara menggelegar, tiang-tiang penyangga langit gemetar.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Samudra ditaklukkan oleh kuasa-Nya dan Rahab pun dihajar oleh kemahiran-Nya.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Napas-Nya menyapu langit hingga cerah sekali; tangan-Nya membunuh naga yang nyaris lari.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Tetapi semua itu hanya pertanda kuasa-Nya; hanya bisikan yang sampai di telinga kita. Betapa sedikit pengertian kita tentang Allah dan hebatnya kuasa-Nya!"

< Ayubu 26 >