< Ayubu 26 >
Job prit la parole, et dit:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
Comme tu as aidé celui qui était sans force! Comme tu as secouru le bras sans vigueur!
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Comme tu as bien conseillé l'homme sans raison, et fait paraître l'abondance de ta sagesse!
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
A qui as-tu adressé des discours? Et de qui est l'esprit qui est sorti de toi?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Les ombres tremblent au-dessous des eaux et de leurs habitants.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
Le Sépulcre est à nu devant lui, et l'abîme est sans voile. (Sheol )
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Il étend le septentrion sur le vide, il suspend la terre sur le néant.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Il renferme les eaux dans ses nuages, et la nuée n'éclate pas sous leur poids.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Il couvre la face de son trône, il déploie au-dessus sa nuée.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Il décrit un cercle sur les eaux, au point où la lumière confine avec les ténèbres.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Les colonnes des cieux sont ébranlées, et s'étonnent à sa menace.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Par sa force, il soulève la mer; et par son habileté, il écrase les plus puissants rebelles.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Son souffle rend le ciel pur; sa main perce le dragon fugitif.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Ce ne sont là que les bords de ses voies; qu'il est faible le bruit qu'en saisit notre oreille! Et qui pourra entendre le tonnerre de sa puissance?