< Ayubu 26 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Mais Job répondit, et dit:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
Ô! que tu as été d'un grand secours à l'homme destitué de vigueur; et que tu as soutenu le bras qui n'avait point de force.
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Ô! que tu as donné de [bons] conseils à l'homme qui manquait de sagesse; et que tu as fait paraître d'intelligence.
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
A qui as-tu tenu ces discours? et l'esprit de qui, est sorti de toi?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Les choses inanimées sont formées au dessous des eaux, et les [poissons] aussi qui habitent dans les eaux.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
L'abîme est à découvert devant lui, et le gouffre n'[a] point de couverture. (Sheol h7585)
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Il étend l'Aquilon sur le vide, et il suspend la terre sur le néant.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Il serre les eaux dans ses nuées, sans que la nuée se fende sous elles.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Il maintient le dehors de [son] trône, et il étend sa nuée par dessus.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Il a compassé des bornes sur les eaux tout autour, jusqu'à ce qu'il n'y ait plus ni lumière ni ténèbres.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Les colonnes des cieux s'ébranlent et s'étonnent à sa menace.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Il fend la mer par sa puissance, et il frappe par son intelligence les flots quand ils s'élèvent.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Il a orné les cieux par son Esprit, et sa main a formé le serpent traversant.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Voilà, tels sont les bords de ses voies; mais combien est petite la portion que nous en connaissons? Et qui est-ce qui pourra comprendre le bruit éclatant de sa puissance?

< Ayubu 26 >