< Ayubu 26 >
And he answered Job and he said.
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
How! you have helped not power you have saved [the] arm not strength.
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
How! you have counseled not wisdom and sound wisdom for abundance you have made known.
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Whom? have you told words and [the] breath of whom? has it gone out from you.
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
The shades they are made to tremble under [the] waters and [those which] dwell in them.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
[is] naked Sheol before him and not a covering [belongs] to Abaddon. (Sheol )
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
[he] stretches out [the] north Over emptiness [he] hangs [the] earth on not whatever.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
[he] binds up Waters in clouds his and not it is split open [the] cloud under them.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
[he] covers [the] presence of [the] throne He spreads over it cloud his.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
A limit he has drawn a circle on [the] surface of [the] waters to [the] end of light with darkness.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
[the] pillars of Heaven they shake and they may be astonished from rebuke his.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
By power his he stirred up the sea (and by understanding his *Q(k)*) he shattered Rahab.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
By wind his [the] heavens [are] clearness it pierced hand his [the] snake fleeing.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
There! these - [are] [the] ends of (ways his *Q(K)*) and what! a whisper of a word we hear in it and [the] thunder of (mighty deeds his *Q(K)*) who? will he understand.