< Ayubu 26 >

1 Kisha Ayubu akajibu:
Hichun Job in thu aseikit in:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
Thabei chu nangin iti nana kithopi ham? Atha lhasam chu iti naki thopi ham?
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Kangolna hi iti nahetdoh sah thei ding ham? Ipi chihna chu neihil khah em?
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
Hitobang chihna thusei hohi hoiya nakilah ham? Koi lhagauvin nanga konna thu asei ham?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Athisa twitonoija umho chu akithinge.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Pathen masanga chun noimigam jong akeu ahi, manthahna mun chu akihol doh tai. (Sheol h7585)
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Pathen in van sahlang kai chu onghom laiya ahin khang doh in chule leiset chu imacha umlouna ah akhaije.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Aman go chu meilhang satah in atom in chule agih a chun apohkeh dehpoi.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
Aman lha chu amai atompeh in ameilhang ho a chun akhumin ahi.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Aman leisetna konna twi achom khenna chu kolmong ana semdoh ahi. Sunle jan gamgi asempeh ahi.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Van khombul ho akiling in aman asapset teng akithing tuntun jin ahi.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
Ama thahat in twikhang len thipchet in aumin athilbol theina in twikhanglen'a ganhing len chu asuhchip ahi.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
Alhagauva vanho hoitah a asem ahi. Athaneina a gulpi kilap lele chu asutpai ahi.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
Athilbol ho lah a hicheho hi akipatna mai mai bou ahi nalaije. Athilboltheina husa mai mai bou ahin kon hitia chu van kithin thahatna chu ahet thei ding ham?

< Ayubu 26 >