< Ayubu 26 >
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
“Metlam thadueng mueh te na bom tih sarhi aka tak mueh bantha te na khang?
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
Metlam lae cueihnah aka tal te na uen tih a cungkuem ah lungming cueihnah na ming sak.
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
U taengah nim ol na thui tih nang lamloh u kah hiil nim aka thoeng?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
Sairhai tah tui hmui ah kilkul uh tih kho a sak.
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
A taengah saelkhui khaw pumtling om tih Abaddon khaw himbai om pawh. (Sheol )
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
Tlangpuei ah hinghong la a yaal tih bang aka om pawt soah khaw diklai a dingkoei sak.
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
A khomai khuiah tui a cun tih cingmai te a hmui ah a ueth pawh.
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
A cingmai te a soah a yaal tih ngolkhoel hmai a dah.
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
Vangnah neh a hmuep laklo kah a khuetnah hamla tui hman ah a rhi a rhuen pah.
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
Vaan kah tung khaw hlinghloek uh tih a tluungnah dongah a ngaihmang uh.
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
A thadueng loh tuipuei te a phih tih a lungcuei neh Rahab a phop.
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
A mueihla loh vaan kah khocil a thoeng sak tih a kut loh yingyet rhul khaw a toeh.
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”
He tah a longpuei dongkah longpuei hmoi ni he. A thayung thamal kah khohum khuiah amah kah ol duem te metlam n'yaak? A thayung thamal te u long a yakming pai eh?” a ti.