< Ayubu 24 >

1 “Kwa nini Mwenyezi asiweke nyakati kwa ajili ya hukumu? Kwa nini wale wamjuao wazitafute siku kama hizo bila mafanikio?
Gode da abuliba: le fofada: su eso hame ilegesala: ? Abuliba: le Ema hawa: hamosu dunu da moloidafa sia: ma: ne, fofada: su eso hame ilegesala: ?
2 Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyangʼanya kwa nguvu.
Dunu ilia da soge eno lama: ne, alalo legesu afadenesa. Ilia sibi wa: i gilisima: ne, eno sibi wamolasa.
3 Huwanyangʼanya yatima punda wao, na kumchukua rehani fahali wa mjane.
Ilia da guluba: mano ilia dougi wamolasa, amola didalo ea dabe bu ima: ne sesesa, ea bulamagau samogesa.
4 Humsukuma mhitaji kutoka njia, na kuwafanya maskini wote wa nchi kulazimika kujificha.
Ilia hame gagui dunu amo moloidafa hou ba: ma: ne logo hedofasa. Amola ilia hahani dunu sesebeba: le, ilia hobeale, wamoaligisa.
5 Kama punda-mwitu jangwani, maskini huzunguka katika kazi zao za kutafuta chakula; mahali palipo jangwa huwapa chakula cha watoto wao.
Amaiba: le, hame gagui dunu da sigua dougi agoane, wadela: i hafoga: i sogega ilia ha: i manu hogosa. Ilia manogili ha: i manu ima: ne, sogebi eno hame ba: sa.
6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Ilia da soge hame gaguiba: le, inia ifabia dadamisa. Ilia wadela: i hamosu dunu ilia waini sagaiga waini fage faisa.
7 Kwa kukosa nguo, usiku kucha hukaa uchi; hawana chochote cha kujifunika baridi.
Gasia, ilia abula sosone diasu hameba: le, anegagini golasa.
8 Hutota kwa mvua za mlimani, nao huikumbatia miamba kwa ajili ya kukosa pa kujisitiri.
Gibu amo da goumia daha amoga ilia da: i nanegasa. Ilia da nanegaiga anegagiba: le, igihaguga aliligisa.
9 Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.
Wadela: le hamosu dunu da guluba: mano dudubu ili udigili hawa: hamoma: ne laha. Eno dunu da ilima dabe bu imunu galea, ilia da ilia mano amoga dabe imunusa: agoane samogesa.
10 Kwa kukosa nguo, hutembea uchi; hubeba miganda ya ngano, lakini huwa na njaa.
Be hame gagui dunu da da: i nabado agoane ahoa. Ilia ha: aligiwane widi ha: i manu gamisa.
11 Hukamua zeituni katika mawe ya kusagia; hukanyaga mashinikizo, lakini wanaona kiu.
Ilia da olife susuligi hamomusa: , olife fage banesa, amola waini hano hamoma: ne, waini fage ososa: gisa, be ilila: da hano hanai.
12 Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini, nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada. Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote kwa kutenda mabaya.
Moilai bai bagade ganodini, fofa: gi amola bogolalebe dunu ilia se nabawane wele sia: sa. Be Gode da ilia sia: ne gadosu hame naba.
13 “Wako wale wanaoiasi nuru, wasiofahamu njia zake wala hawakai katika mapito yake.
Wadela: i hamosu dunu da hadigidafa higasa. Ilia da amo hadigi hame dawa: digisa, amola amoma hame fa: no bobogesa.
14 Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka naye huwaua maskini na mhitaji; wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.
Hehebolo mabe galu, medole legesu dunu da nedigili, wa: legadole, hame gagui dunu medole legemusa: ahoa. Gasia, e da wamolasu hou hamosa.
15 Jicho la mzinzi hungojea wakati wa giza, naye hufikiri, ‘Hakuna jicho litakaloniona,’ naye huuficha uso wake.
Inia uda adole lasu dunu da gasima: ne ouesalu, dunu eno da e mae ba: ma: ne, ea odagi dedebosa.
16 Katika giza, huvunja majumba, lakini wakati wa mchana hujifungia ndani; hawataki kufanya lolote nuruni.
Gasia, wamolasu dunu da diasu fili ganodini maha. Be hayoga ilia wamoaligisa amola hadigi ganodini hame ahoa.
17 Kwa wote hawa, giza nene ndiyo asubuhi yao; hujifanya rafiki na vitisho vya gizani.
Ilia da eso ea hadigi amoma beda: i gala. Be gasia ilia beda: su hame dawa:” Soufa da amane sia: i,
18 “Lakini wao ni povu juu ya maji; sehemu yao juu ya nchi imelaaniwa, hivyo hakuna hata mmoja aendaye kwenye shamba la mizabibu.
“Wadela: le hamosu dunu da hano leda: i amoga mini asi dagoi ba: sa. Gode da ilia soge amoga gagabusu aligima: ne sia: sa. Ilia da ilia waini sagaia hawa: hamomusa: hame ahoa.
19 Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
Eso da gia: sea, mugene ofo da alalolesisa. Amo defele, wadela: i hamosu dunu da dunu esalebe sogega bu mae ba: ma: ne alalolesisa. (Sheol h7585)
20 Tumbo lililowazaa huwasahau, nao huwa karamu ya mabuu; watu waovu hawakumbukwi tena, lakini huvunjika kama mti.
Ilia emedafa da ili gogolelesisa. Daba: da ilia da: i na dagosa. Amola ilia da ifa fili sa: i defele dasasa.
21 Huwafanya mawindo wanawake tasa na wasio na watoto, nao hawaonyeshi huruma kwa wajane.
Bai ilia da didalo ili se nabima: ne hamoi, amola aligime uda ilima hame asigi galu.
22 Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake; ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
Gode da gasa bagadeba: le, E da mimogo gasa bagade dunu gugunufinisisa. Gode Ea hamobeba: le, wadela: le hamosu dunu da bogogia: sa.
23 Aweza akawaacha wakapumzika wakijihisi salama, lakini macho yake yanaona njia zao.
Gode da ili fonobahadi gaga: iwane esaloma: ne, logo doasisa. Be E da ili eso huluane ha: giwane sosodo aligisa.
24 Kwa kitambo kidogo hutukuka, hatimaye hutoweka; hushushwa na kukusanywa kama wengine wote, hukatwa kama masuke ya nafaka.
Wadela: le hamosu dunu da fonobahadi hahawane amola bagade gaguiwane esala. Be amalu ilia da gagalobo amola widi gisi damui defele, hedolo biosa.
25 “Kama hili sivyo, ni nani awezaye kunithibitisha kuwa mwongo, na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?”
Amo da dafawane hame, nowa da sia: ma: bela: ? Nowa da na adoi da dafawane hame sia: ma: bela: ?”

< Ayubu 24 >