< Ayubu 22 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
Temani Eliphaz loh a doo tih,
2 “Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
Pathen te hlang loh s hmaiben a? Lungming khaw amah la dawk a hmaiben uh.
3 Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
Na tang mai tih na mueluemnah mai akhaw, na khoboe soep cakhaw tlungthang hamla naep aya?
4 “Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?
Na hinyahnah dongah nang te laitloeknah neh n'khuen tih nang n'tluung a?
5 Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
Na boethae tangkik pawt nim? Nang kah thaesainah te a bawtnah om pawh.
6 Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
Lunglilungla la na manuca na laikoi tih pumtling kah himbai te na pit pah.
7 Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
Buhmueh rhathih te tui na tul pawt tih bungpong te buh na hloh pah.
8 ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
Bantha aka khueh hlang loh amah hamla khohmuen a khueh tih a sokah khosa mikhmuh ah a dangrhoek.
9 Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
Nuhmai te kuttling la na tueih tih cadah te a ban na phop pah.
10 Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
Na kaepvai kah pael dongah he khaw na birhihnah neh buengrhuet na let.
11 ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
A hmuep khaw na hmu pawt tih tuili tui loh nang n'khuk.
12 “Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!
Pathen tah vaan sang kah moenih a? So lah, aisi rhoek kah a lu tah pomsang uh te.
13 Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?
Te lalah, “Pathen te metlam a mingpha? Yinnah lamloh lai a tloek a?
14 Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi atembeapo juu ya anga la dunia.
Anih te khomai loh a huep tih tueng pawh. Te vaengah vaan kah kueluek dongah cet,” na ti.
15 Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
Boethae hlang rhoek loh a cawt khosuen caehlong nim na ngaithuen salah?
16 Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
A tonga uh vaengah a tue pawt ah khaw tuiva loh amih kah khoengim te a hawt pah.
17 Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
“Pathen te mamih taeng lamloh nong saeh, Tlungthang loh mamih taengah balae a saii eh?” a ti uh.
18 Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
Amah loh amih im te hnothen a cung sak sitoe cakhaw halang kah cilsuep tah kai lamloh lakhla saeh.
19 “Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,
Aka dueng rhoek loh a hmuh vaengah a kohoe uh tih ommongsitoe loh amih te a tamdaeng.
20 ‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’
Mamih kah thinnaeh a thup vetih amih kah a coih te hmai loh hlawp het pawt nim?
21 “Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
Amah neh hmaiben lamtah te nen te thuung laeh. Nang taengah hnothen ha pawk bitni.
22 Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
A ka lamkah olkhueng mah doe laeh, a ol te khaw na thinko khuiah khueh laeh.
23 Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
Tlungthang taengla na mael atah n'thoh bitni dumlai mah na dap lamloh lakhla sak.
24 kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
Pasing te laipi bangla, Ophir te soklong kah lungpang bangla khueh ngawn.
25 ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
Te vaengah na pasing te tlungthang la, cak te na ki la poeh bitni.
26 Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.
Te daengah ni Tlungthang dongah na ngailaem vetih Pathen taengla na maelhmai na dangrhoek bitni.
27 Utamwomba yeye, naye atakusikia, nawe utazitimiza nadhiri zako.
A taengah na thangthui vaengah nang ol a yaak vetih na olcaeng khaw cung ni.
28 Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.
Olkhueh te na tuiphih vaengah nang hamla thoo vetih na longpuei ah vangnah loh a tue ni.
29 Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
A kunyun uh vaengah koevoeinah na thui dae tlahoei mik ni a khang eh.
30 Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”
Ommongsitoe pawt khaw loeih vetih na kut kah cimcaihnah loh a loeih sak ni,” a ti.

< Ayubu 22 >