< Ayubu 22 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
Ilaifa: se da amane sia: i,
2 “Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
“Dunu afae da Gode fidimu hamedei. Dafawane! Baligili bagade dawa: su dunu amolawane da Gode fidimu hame dawa:
3 Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
Di da moloidafa hou hamobeba: le, Gode fidimu dawa: bela: ? Hame mabu!
4 “Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?
Gode da dima gagabole sia: sa amola dima fofada: sa. Be amo ea bai da di da Godema nodone beda: iba: le hame.
5 Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
Hame mabu! Dima fofada: su ea bai da di wadela: i hou hamonanebe amoga hamosa.
6 Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
Di da dia sama dima ea imunu muni ima: ne sesemusa: , ea abula huluane samogei. Amalalu, e da abula ga: simu hame ba: i.
7 Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
Di da helebe dunuma hano hame dili i. Amola ha: aligi dunuma ha: i manu imunu higa: i.
8 ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
Di da gasa bagade amola mimogo hamoiba: le, soge huluane sasamogei.
9 Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
Di da didalo uda ili fidimu higa: i. Amola di da guluba: mano ilia liligi wamolai amola ilima se iasu.
10 Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
Amaiba: le, di sa: ima: ne dogoi da di sisiga: i diala. Amola di da hedolowane beda: sa.
11 ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
Gasi da bagadeba: le, di da ba: mu gogolei. Amola hano da heda: iba: le, di hahani ba: sa.
12 “Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!
Gode da gadodafa Hebene ganodini esala. Amola gasumuni da gadodafa, be Gode da amo dabuagadonini ba: le gudusa.
13 Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?
Be di da amane sia: sa, ‘Gode da adi dawa: bela: ? E da mu mobiga uligi. E da habodane ninima fofada: ma: bela: ?’
14 Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi atembeapo juu ya anga la dunia.
E da mu da: iya gado ahoasea, E da mu mobiga uligiba: le, nini hame ba: ma: bela: ? E da ba: mu!
15 Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
Di da wadela: i hamosu dunu ilia eso huluane ahoasu logo amoga hanabela: ?
16 Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
Ilia wadela: mu ilegei eso da mae doaga: iwane, ilia da hano leda: i amoga mini asi dagoi ba: i.
17 Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
Amo dunu ilia da Gode higasu. Ilia da Gode da ili fidimu defele esala amo dafawaneyale hame dawa: su.
18 Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
Be Gode Hi fawane da ili bagade gagui ilima i. Na da wadela: le hamosu dunu ilia asigi dawa: su hamedafa dawa: digisa.
19 “Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,
Gode da wadela: i hou hamosu dunu ilima se dabe iasea, noga: i dunu amola moloidafa hamosu dunu da hahawaneba: le oufesega: sa.
20 ‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’
Wadela: i dunu ilia gagui liligi huluane da wadela: lesisa. Amola hame wadela: lesi liligi dialebe, amo huluane da laluga ulagisisa.
21 “Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
Yoube! Di Godema olofole gousa: ma! Ema ha lasu agoane mae hamoma! Agoane hamosea, E da dima hahawane dogolegele fidisu imunu.
22 Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
Ea dima olelebe amo lalegaguma! Ea sia: dia dogo ganodini dialoma: ne ligisima.
23 Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
Dafawane! Di fonoboiwane, Godema sinidigima! Wadela: i hou amo da dia diasuga hamonanebe ba: sa, amo huluane yolesima!
24 kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
Dia gouli huluane galadigima! Dia gouli noga: idafa amo hafoga: i hano logoa amogai sanasima!
25 ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
Gode Bagadedafa, E fawane da dia gouli amola silifa lelegela heda: i agoane dialoma: ne, logo doasima!
26 Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.
Amasea, di da eso huluane Gode dafawaneyale dawa: mu. Amola E da dia hahawane hou ea bai dialebe, di da ba: mu.
27 Utamwomba yeye, naye atakusikia, nawe utazitimiza nadhiri zako.
Di da Ema sia: ne gadosea, E da dima dabe adole imunu. Amola di da ilegele sia: sea, di da amo defele hamomu.
28 Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.
Dia da, dia hamomu liligi huluane didili hamomu. Amola hadigi da dia ahoabe logo olemu.
29 Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
Gode da gasa fi gaguia gudulisisa. Amola E da asaboi dunu gaguia gadosa.
30 Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”
Di da wadela: le hame hamosea, be moloidafa fawane hamosea, E da di gaga: mu.”

< Ayubu 22 >