< Ayubu 19 >

1 Ndipo Ayubu akajibu:
Bet Ījabs atbildēja un sacīja:
2 “Je, mtaendelea kunitesa mpaka lini, na kuniponda kwa maneno yenu?
Cik ilgi jūs manu dvēseli bēdināsiet un mani mocīsiet ar vārdiem?
3 Mara kumi hizi mmenishutumu; bila aibu mnanishambulia.
Jūs gan desmitkārt mani likuši kaunā un nekaunaties mani tā nomākt.
4 Kama ni kweli nimepotoka, kosa langu ninabaki kuhusika nalo mwenyewe.
Un ja es tiešām esmu maldījies, tad tā maldīšanās ir mana.
5 Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu, na kutumia unyonge wangu dhidi yangu,
Vai tad jums tiešām tā bija lielīties pret mani un pierādīt manu kaunu?
6 basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo mabaya, naye amekokota wavu wake kunizunguka.
Ņemiet jel vērā, kā Dievs mani lauzis un mani apvaldzinājis ar Savu tīklu.
7 “Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ sipati jibu; ingawa ninaomba msaada, hakuna haki.
Redzi, es brēcu par varas darbu, bet man neatbild; es kliedzu pēc palīga, bet tiesas nav.
8 Yeye ameizuia njia yangu hivyo siwezi kupita; ameyafunika mapito yangu na giza.
Manam ceļam Viņš licis šķēršļus, ka netieku uz priekšu, un uz manām tekām Viņš licis tumsību.
9 Amenivua heshima yangu, na kuniondolea taji kichwani pangu.
Manu godu Viņš man novilcis un atņēmis manas galvas kroni.
10 Amenibomoa kila upande hadi nimeisha; amelingʼoa tegemeo langu kama mti.
Viņš mani nopostījis visapkārt, ka eju bojā, un manu cerību Viņš izsakņojis kā koku.
11 Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
Viņš iededzinājis Savu bardzību pret mani un mani tur kā Savu ienaidnieku.
12 Majeshi yake yananisogelea kwa nguvu; yamenizingira, yamepiga kambi kulizunguka hema langu.
Viņa kara spēki sanākuši kopā un pret mani taisījuši savu ceļu un apmetuši lēģeri ap manu dzīvokli.
13 “Amewatenga ndugu zangu mbali nami; wale tunaojuana nao wamefarakana nami kabisa.
Manus brāļus viņš atšķīris tālu no manis, un mani draugi man palikuši visai sveši.
14 Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali; rafiki zangu wamenisahau.
Mani tuvinieki atstājās, un mani draugi mani aizmirst.
15 Wageni wangu na watumishi wangu wa kike wananiona kama mgeni; wananitazama kama mgeni.
Mana saime un manas kalpones tur mani par svešinieku, un es esmu kā svešs viņu acīs.
16 Namwita mtumishi wangu, wala haitiki, ingawa namwomba kwa kinywa changu mwenyewe.
Es saucu savu kalpu, bet tas neatbild, tas man mīļi jālūdzās ar savu muti.
17 Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke wangu; nimekuwa chukizo mno kwa ndugu zangu mwenyewe.
Mana dvaša riebj manai sievai, un mana smaka manas mātes bērniem.
18 Hata watoto wadogo hunidhihaki; ninapojitokeza, hunifanyia mzaha.
Pat puikas mani nicina; kad es ceļos, tad tie man runā pretim.
19 Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia kabisa; wale niwapendao wamekuwa kinyume nami.
Visi mani uzticamie draugi mani tur par negantību, un ko es mīlējis, tie ir griezušies pret mani.
20 Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu; nimeponea nikiwa karibu kufa.
Mani kauli līp pie manas ādas un pie manas miesas, un maniem zobiem āda vien atliek.
21 “Nihurumieni, rafiki zangu, kuweni na huruma, kwa kuwa mkono wa Mungu umenipiga.
Apžēlojaties par mani, apžēlojaties par mani, mani draugi! Jo Dieva roka mani aizskārusi.
22 Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo? Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
Kāpēc jūs mani vajājat, kā tas stiprais Dievs, un no manas miesas nevarat pieēsties?
23 “Laiti maneno yangu yangewekwa kwenye kumbukumbu, laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,
Ak kaut mani vārdi taptu sarakstīti, ak kaut tie taptu iezīmēti grāmatā!
24 kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa cha chuma, au kuyachonga juu ya mwamba milele!
Kaut tie ar dzelzs kaltu un svinu par mūžīgu piemiņu taptu iecirsti akmenī.
25 Ninajua kwamba Mkombozi wangu yu hai, naye kwamba mwishoni atasimama juu ya nchi.
Bet es zinu, ka mans Pestītājs dzīvs, un pēcgalā Viņš celsies pār pīšļiem.
26 Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa, bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;
Un kad mana āda, kas tā sasista, vairs nebūs, tad vaļā no savas miesas es skatīšu Dievu.
27 mimi nitamwona kwa macho yangu mwenyewe: mimi, wala si mwingine. Tazama jinsi moyo wangu unavyomtamani sana!
Tiešām, es Viņu sev skatīšu, un manas acis Viņu redzēs, un nebūs svešs. - Mana sirds iekš manis ilgojās.
28 “Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
Kad jūs sakāt: Kā mēs to vajāsim? Un ka tā vaina pie manis atrasta:
29 ninyi wenyewe uogopeni upanga, kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa upanga, nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna hukumu.”
Tad bīstaties no zobena; jo zobens ir tā bardzība par noziegumiem, lai jūs atzīstat, ka ir sodība.

< Ayubu 19 >