< Ayubu 18 >
1 Bildadi Mshuhi akajibu:
Então respondeu Bildad, o suhita, e disse:
2 “Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
Até quando não fareis fim de palavras? considerae bem, e então fallaremos.
3 Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
Porque somos estimados como bestas, e immundos aos vossos olhos?
4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Oh tu, que despedaças a tua alma na tua ira, será a terra deixada por tua causa? e remover-se-hão as rochas do seu logar?
5 “Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
Na verdade, a luz dos impios se apagará, e a faisca do seu fogo não resplandecerá.
6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
A luz se escurecerá nas suas tendas, e a sua lampada sobre elle se apagará.
7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
Os passos do seu poder se estreitarão, e o seu conselho o derribará.
8 Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Porque por seus proprios pés é lançado na rede, e andará nos fios enredados.
9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
O laço o apanhará pelo calcanhar, e prevalecerá contra elle o salteador.
10 Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
Está escondida debaixo da terra uma corda, e uma armadilha na vereda,
11 Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
Os assombros o espantarão em redor, e o farão correr d'uma parte para a outra, por onde quer que apresse os passos.
12 Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
Será faminto o seu rigor, e a destruição está prompta ao seu lado.
13 Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
O primogenito da morte consumirá as costellas da sua pelle: consumirá, digo, os seus membros.
14 Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
A sua confiança será arrancada da sua tenda, e isto o fará caminhar para o rei dos assombros.
15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
Morará na sua mesma tenda, não lhe ficando nada: espalhar-se-ha enxofre sobre a sua habitação.
16 Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
Por debaixo se seccarão as suas raizes, e por de cima serão cortados os seus ramos.
17 Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
A sua memoria perecerá da terra, e pelas praças não terá nome.
18 Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
Da luz o lançarão nas trevas, e afugental-o-hão do mundo.
19 Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
Não terá filho nem neto entre o seu povo, e resto nenhum d'elle ficará nas suas moradas.
20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
Do seu dia se espantarão os vindouros, e os antigos serão sobresaltados de horror.
21 Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
Taes são, na verdade, as moradas do perverso, e este é o logar do que não conhece a Deus.