< Ayubu 18 >

1 Bildadi Mshuhi akajibu:
Et Baldad de Sauchée, dit:
2 “Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
Quand donc te reposeras-tu? contiens-toi, afin que nous parlions aussi.
3 Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
Pourquoi devant toi sommes-nous muets comme des quadrupèdes?
4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Tu te mets en colère. Qu'y a-t-il? Si tu meurs, la terre sous le ciel sera-t-elle inhabitée, et les montagnes s'écrouleront-elles jusqu'à la base?
5 “Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
La lumière des impies s'éteindra, et d'eux il ne sortira point de flamme.
6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
La lumière est ténèbres en la demeure de l'impie; la lampe qui l'éclaire s'éteindra.
7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
Que les petits soient mis en possession de ses richesses; que ces conseils soient renversés.
8 Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Son pied s'est pris au piège, que le filet l'enveloppe tout entier.
9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
Qu' il le retienne, et ceux qui ont soif de l'attaquer prendront courage.
10 Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
Le câble était caché en terre, il devait le heurter dans le chemin.
11 Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
Puissent les douleurs l'investir et le perdre, qu'elles l'entourent en foule à chacun de ses pas;
12 Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
Qu'il sente les angoisses de la faim; une chute extraordinaire lui a été réservée.
13 Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
Que les doigts de ses pieds soient rongés; la mort dévorera de lui tout ce qu'elle trouvera mûr pour elle.
14 Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
Que la guérison fuie le toit qu'il habite, que la nécessité l'emprisonne comme s'il eût commis un crime contre le roi.
15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
Dans sa nuit fatale il se sera vainement abrité sous sa tente; tout ce qui fait sa gloire sera bouleversé par la foudre;
16 Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
Au plus profond de la terre les racines de ses arbres sécheront; à la surface sa maison tombera.
17 Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
Que tout souvenir de lui périsse sur la terre, et son nom appartiendra à la face invisible de l'univers.
18 Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
Qu'il soit chassé de la lumière pour entrer dans les ténèbres.
19 Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
Il sera inconnu à son peuple, et sa famille ne lui survivra pas sous la voûte du ciel. D'autres vivront des biens qu'il a eus;
20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
à cause de lui finalement on gémira; d'abord on aura été frappé d'étonnement.
21 Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
Tel est le sort des pervers; ainsi s'écroule la maison de ceux qui ne connaissent pas le Seigneur.

< Ayubu 18 >